Uchaguzi 2020 Dar es Salaam: Watu watatu zaidi wakamatwa kuzuia maandamano

Uchaguzi 2020 Dar es Salaam: Watu watatu zaidi wakamatwa kuzuia maandamano

Amani ipi inavurugwa tokea lini maandamano ya Amani yakavuruga chochote?
Ni kwasababu nchi hii haijawahi kuwa na maandamano wavimba macho wengi wamejijengea dhana potofu kua kila kinachoitwa maandamano ni "mfumo wa uvunjifu wa amani" na "kuhamasisha vurugu"

Watu kama hawa wanaoshindwa ku reason vitu vidogo kama hivi, ndio aina ya viongozi ambao serikali imewachagulia waende kuwawakilisha huko bungeni
 
Na hivi vyote vimegundulika haraka sana kabla muda wa maandamano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

"Ira kuhusu Mtwara bado jeshi retu rinafuatiria kujua kama kweri watu wariuawa au si kweri ni uchochezi tu wa kuwatia hofu Watanzania"
Mtwara si salama waasi tokea msumbiji wanaendelea kuua watu na ukumbuke wao wanajua njia vichochoro vyote vya kuingia Tanzania na kutoka pasipo kuonekana lakini JWTZ bado hawajajua hizo njia wanahaha kusigundua
 
Hao wa kuandamana wako wapi ?
nenda kwnye page za viongozi wako uone wanavyojibiwa
Mimi sina kiongozi, hua nafungamana na upande wa haki. Sifati meza yenye bia nyingi kama nyinyi

Kwasababu we umeenda huko umeyaona majibu kwanini usiyaweke hapa
 
Ni kwasababu nchi hii haijawahi kuwa na maandamano wavimba macho wengi wamejijengea dhana potofu kua kila kinachoitwa maandamano ni "mfumo wa uvunjifu wa amani" na "kuhamasisha vurugu"

Watu kama hawa wanaoshindwa ku reason vitu vidogo kama hivi, ndio aina ya viongozi ambao serikali imewachagulia waende kuwawakilisha huko bungeni
Polisiccm wameyatangaza maandamano kuliko hata chadema ACT wenyewe, Duniani kote wamejua Polisiccm inakamata wapinzani kwa hofu ya maandamano ya Amani tu, polepole wanajidhalilisha mno kwa kufanya kazi kwa hofu zisizo na tija kwa Taifa
 
Zimebaki dakika 5 sasa kushuhudia maandamano ila naona jiji la Dar es salaam lina utulivu wa kutosha na shughuli za kuzalisha zikiendelea kama kawaida...

Pongezi kwako kamanda Mambosasa kwa kazi nzuri ya kuwakamata hao vibaraka wa mabeberu...
Pongezi za kishetani hizo haziwezi kulisaidia Taifa, CCM wakienda kuomba omba misaada ulaya America huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu unyanyasaji uonevu uovu mateso ya CCM kwa wapinzani ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
 
Uko barabara ipi mkuu mda huu, makamanda wenzio akina BAKI ,SKY ERYTHROCYTE LIMBOMAMBOMA mko nao??

Tumbafu nyie, andamaneni sasa,,,, afu huwezi amini zitto kawasalitii,nenda kwenye page yake ulie vizuri😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁
 
uko barabara ipi mkuu mda huu, makamanda wenzio akina BAKI ,SKY ERYTHROCYTE LIMBOMAMBOMA mko nao??

Tumbafu nyie, andamaneni sasa,,,, afu huwezi amini zitto kawasalitii,nenda kwenye page yake ulie vizuri😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁
Wewe ndiyo pumbavu maandamano ya Amani umeyaogopa mpaka kuwatishia watu kuwaua kuwajeruhi kuwakamata na vitisho, mtu anaandamana kwa upole hana Bunduki hana chochote lakini wewe mwenye mabunduki upo busy kufanya propaganda na uzushi wa hofu kwa kuwabambikia uongo kuwa watafanya fujo, mmewabambikia tuhuma feki , huo uongo wa kishamba ndiyo unaishangaza Dunia
 
Ashinde aliye stahili kushinda, na sio kwa ushindi wa kura za wizi ambao hata mtoto mdogo huwezi kumdanganya kuwa ni ushindi wa halali
Ndugu haya ndio matokee ya uchaguzi mkuu JMT 2020. Aliyeshinda ni Dr. John Pombe Magufuli. Hakuna uthibitisho wa namna yoyote ile kwamba kura zilizopigwa siyo halali. Wananchi zaidi ya milioni 12 wameamuamua kumpa Dr. J.P. Magufuli miaka mitano tena ya uongozi wa nchi, sambamba na hilo wamewachagua madiwani, wawakilishi, na wabunge wanaoona wanawafaa. Ifike mahali muache kujiona kama nyie ndio mlifaa kushinda na siyo wengine.

_115147863_magu5.jpg
 
Huyo ACP aache uzushi wakishamba, anaanzaje ku flip maneno kutoka "maandamano ya amani" kuwa "vurugu"?
Wametoa notisi ya siku 48 kabla ya maandamano kwa Jeshi la polisi ?tusilaumu kama hawajafata sheria ni kosa kisheria ,sheria ya Jeshi la Polisi ipo wazi kabisa kinachowashinda kuandika barua nakuelezea dhumuni la maandamano ni nini .

Katiba inasema unapofanya maandamano au mipango ya siri nje au ndani ya JMT kuhusu Rais utakuwa umefanya kosa la Uhaini na kosa la uhaini ni kubwa kuliko yote .

Ni kitu gani kinachofanya wasiafute sheria ili hali wana mwanasheria ,inshu ni kwamba wanatafuta watu wafe ili wapate nguvu ya kwenda ICC hiyo ndio plan yao.
 
Yaani huyu Mambosasa ana uongo wa kijinga kweli. Hauhitaji kuwa na diploma kujua kuwa anachoongea ni cha kupikwa.
Ni mara mia mtu mwenye cheo cha RPC kabla ya kuongea chochote kwenye media awe anakaa hata na Asikari wa chini wameshauri maana wapo wenye Akili, mambosasa kachemsha sana kubambika tuhuma feki kwa maandamano ya Amani yasiyo na fujo yeyote, Polisiccm wamekuwa waoga kwa watu wasio na siraha yeyote
 
Huyo kamanda amaongea pumba kilasiku kama hana ubongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Aibu sana inabidi sasa Apigwe semina ya maarifa na weledi maana inaelekea hafanyi kazi kwa mjibu wa Sheria bali anafanya kazi kwa mjibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za polepole na CCM yakew
 
Mimi natamani kumuona Mr and Mrs Mbowe, Mr and Mrs Zitto, Mr and Mrs Maalimu, Mr and Mrs Lissu, Mr and Mrs Salim pamoja na familia zao wakiwa wanaongoza maandamano.
Mkiwaona huko mniite mapema.
Wewe upo wapi? Mbona Polisi kwa uoga wamewakata tokea jana kabla ya maandamano yenyewe kabsa, ni kwa nini hawakusubiri waandamane kabsa
 
Harakati ndio zinaanza si lazima kumwaga kila kitu hapa
Watu wanaandamana mioyoni wanamlilia mungu sasa baada ya kuona Polisiccm watawaua endapo wataingia barabarani
 
Mambosasa ni SACP siyo ACP. Kijeshi unakua umemkosea sana kumpunguzia rank yake.
Iwe kubwa iwe ndogo kachemsha sana kuwabambikia tuhuma feki watu waliotaka kuandamana kwa Amani
 
Ashinde aliye stahili kushinda, na sio kwa ushindi wa kura za wizi ambao hata mtoto mdogo huwezi kumdanganya kuwa ni ushindi wa halali
Watu wataandamana mioyoni tu
 
Back
Top Bottom