Mwamba wa Kifo
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 268
- 164
Ha ha ha ha ha!!!!Nenda kwenye maandamano acha ujanja ujanja mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha ha!!!!Nenda kwenye maandamano acha ujanja ujanja mkuu
Chama cha mbowe na Chama cha Zitto kabwe ni Walaghai wa siasa. Hatutaki Maandamano. Rais wetu ni MagufuliWe bado hujaenda kuandamana tu? Dah! CHADEMA bana. Walaghai sana. Nasikia Zitto Kabwe kazima simu
Walipiga kampeni na kuhesabu kura kwa kuzingatia comments zao mitandaoni, amini nakwambia hata maandamano yao yataanzia mitandaoni na kuishia mitandaoni.Hahahahahahah kwani wanathubutu wako busy online hahahah
Nauliza kwa sauti, Je, ulilazimishwa kupiga kura?Halafu wanakosea wanaposema kwamba ni vurugu wakati ni maandamano ya amani kudai Uchaguzi huru na wa haki, Kudai Tume huru ya Uchaguzi, Uchaguzi uandaliwe sababu kilichofanyika Tanzania tarehe 28 hakikuw na sifa za kuitwa uchaguzi
Ndo muende barabarani sasa sio kulalamika huku jamii forum.Pole ya nini? Watanzania asilimia sabini hawakubaliani na kilichofanyika tz
Abstaining ni tofauti na rejectingPole ya nini? Watanzania asilimia sabini hawakubaliani na kilichofanyika tz
Wamemaliza usafi kitambo, sasa ivi wamelala.[emoji28][emoji2]....nasikia leo wajeda wanafanya usafi Posta
Nenda kwenye maandamano sasa Kama wewe upo online unachat muda huu nani ataandamana sasa![]()
![]()
[emoji2![]()
Nimegundua wanaohamasisha maandamano wanavitambi hawana uwezi wa kutembea na kuhimili mikimbizano na wajeda,,,wamebakia kuandamana kwenye keybodyAndamana ili upate haki Mimi Nina haki nilimchangua JPM na ameshinda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii nchi siku hizi haiendeshwi kwa katiba na kwa tanzania mtu kuwa juu ya sheria sio jambo la kushangaza, wavunjifu wa sheria ni hao hao wakubwa. Fuatilia mienendo yao katika kampeni kisha linganisha na sheria za nec zinazompa muongozo mgombea
Suala la maandamano halipo kwenye katiba tu, ni jambo ambalo linatambulika na UDHR na sisi kama TZ tulisaini mkataba huo na kuahidi kuitekeleza
Tukafanye kazi sasa, kila jambo na wakati wake. Tumechoka kuitwa nchi masikini.Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, ACP Lazaro Mambosasa amesema wamewashika watu watatu zaidi kwa tuhuma za kuwashawishi watu kuandamana.
Walikamatwa ni pamoja na Baunsa wa aliyekuwa Mbunge Kawe, Halima Mdee na wengine wawili ambao wamekamatwa kuzuia vurugu zinazopanga kufanyika.
Kamanda Mambosasa amesema watu hao walikamatwa wakiwa katika vikao vya kupanga vurugu hizo ambazo zimepangwa kufanyika leo.
Waliokuwa wanatakiwa kuandamana wametakiwa kuchoma matairi barabarani, kuchoma magari, vituo vya mafuta na masoko wameahidiwa pesa.
Pia watu wanaotumika kushawishi wanaambiwa wawatafute vijana wasio waoga, wanaotumia dawa za kulevya.
PIA SOMA:
= > Uchaguzi 2020 - ACP Mambosasa: Tunawashikilia Mbowe, Lema na Boniface Jacob kwa kuhatarisha maisha ya Raia na mali zao
PUMBAVU KABISA. UNAIJUA VITA WEWE? TOKA NENDA KAANDAMANE, KEYBOARD WARRIORHuyu Mambosasa atasababisha vita kabisa mpuuzi sana.
Hizi ni pumba tu tena shudu kabisa. Mmefika wapi kwenye maandamano. Au ndio mnatoka twitter kwenda instar then facebookWewe upo wapi? Mbona Polisi kwa uoga wamewakata tokea jana kabla ya maandamano yenyewe kabsa, ni kwa nini hawakusubiri waandamane kabsa
Hahahhaha. Akitoka hapo alipo niiteeeePUMBAVU KABISA. UNAIJUA VITA WEWE? TOKA NENDA KAANDAMANE, KEYBOARD WARRIOR
Ahahaha Ndo maana nakupa pole mi msomaliPole ya nini? Watanzania asilimia sabini hawakubaliani na kilichofanyika tz
Kupongeza sio dhambi ,inauma pale ambapo Kikundi fulani kisipochaguliwa ndio hakuna demokrasia.Kuna wakati Humphrey polepole alikuwa anahojiwa akasema kama China kuna democracy basi nikajua tumemalizika kama taifa. Tutakuwa Taifa la majuha kila siku utaona press conference za kumpomgeza JPM.
Sasa kama JF kigogo kasema walinunuliwa kwa $400 ili kuchafua mazingira ili ionekane promo ni Chade .Walipiga kampeni na kuhesabu kura kwa kuzingatia comments zao mitandaoni, amini nakwambia hata maandamano yao yataanzia mitandaoni na kuishia mitandaoni.