Uchaguzi 2020 Dar es Salaam: Watu watatu zaidi wakamatwa kuzuia maandamano

Uchaguzi 2020 Dar es Salaam: Watu watatu zaidi wakamatwa kuzuia maandamano

mambo sasa ni miongoni mwa watu wajinga sana kuwahi kuwepo kwenye uso wa Dunia

Anaongea kana kwamba hajui hata sudani kulikuwa na mtu mwenye cheo kama chake
Kinachotofautisha na Sudani ni Katiba mzee,akiapa huruhusiwi kupinga.
 
Kupongeza sio dhambi ,inauma pale ambapo Kikundi fulani kisipochaguliwa ndio hakuna demokrasia.

Chadema iachane na uanaharakati hicho ni chama kipo kwa mujibu wa katiba na sheria vimesajiliwa kwa msajili kwa kazi hiyo ya kichama ,hakikusajiliwa kuwa ni NG'O za kiharakati wajifunze wawe serious na mambo ya kitaifa.

Chadema inafungua mkutano haisali wala husikii kiongozi kusema awali ya yote namshuluru Mungu hakuna ,wanafungua nakufunga hivyo hivyo halafu viongozi wa Kidini waunge mkono wapi unadhani.

Jaman tuweni wakweli Chadema inajizika yenyewe.
Chadema ni chama cha siasa ila wanachama wake wana imani za dini tofauti, Wewe unamzungumzia Mungu yupi kwanza, inawezekana hata Mungu unaemsema humjui.
 
Kwamba........
Waliokuwa wanatakiwa kuandamana wametakiwa kuchoma matairi barabarani, kuchoma magari, vituo vya mafuta na masoko wameahidiwa pesa.

Pia watu wanaotumika kushawishi wanaambiwa wawatafute vijana wasio waoga, wanaotumia dawa za kulevya..🤨😲😲
Duhhhhhhh....
Nimejikuta nasikitika sana
Hayo Nagari na vituo vya mafuta vimekosa nini sasa
 
Kupongeza sio dhambi ,inauma pale ambapo Kikundi fulani kisipochaguliwa ndio hakuna demokrasia.

Chadema iachane na uanaharakati hicho ni chama kipo kwa mujibu wa katiba na sheria vimesajiliwa kwa msajili kwa kazi hiyo ya kichama ,hakikusajiliwa kuwa ni NG'O za kiharakati wajifunze wawe serious na mambo ya kitaifa.

Chadema inafungua mkutano haisali wala husikii kiongozi kusema awali ya yote namshuluru Mungu hakuna ,wanafungua nakufunga hivyo hivyo halafu viongozi wa Kidini waunge mkono wapi unadhani.

Jaman tuweni wakweli Chadema inajizika yenyewe.
Hivi kuna sheria inayowataka viongozi wa vyama vya siasa kutamka hayo uyasemayo?.
 
Kuna wakati Humphrey polepole alikuwa anahojiwa akasema kama China kuna democracy basi nikajua tumemalizika kama taifa. Tutakuwa Taifa la majuha kila siku utaona press conference za kumpomgeza JPM.
Doźi imekukolea. Maisha ndivyo yalivo mzee baba
 
Doźi imekukolea. Maisha ndivyo yalivo mzee baba
Mimi niko upande wa haki na pia kiukweli sijawahi kuwa mtu wa siasa ila unapoona haki haitendeki inabidi nikemee ndio vitabu vyote vya dini zinavyosema. Dozi haitokolea kwangu ila vizazi vinavyokuja ndio vitaangamia wakati kundi la watu fulani ndio litapata manufaa, usawa utakuwa haupo. Unapotenda dhambi basi ile dhambi itakundama popote pale uendako.
 
Halafu wanakosea wanaposema kwamba ni vurugu wakati ni maandamano ya amani kudai Uchaguzi huru na wa haki, Kudai Tume huru ya Uchaguzi, Uchaguzi uandaliwe sababu kilichofanyika Tanzania tarehe 28 hakikuw na sifa za kuitwa uchaguzi

Mtaweweseka Sana kwa Kipigo Cha shoga mwizi mlichotembezewa na hamtakaa msahau, mmeleta mbwatukaji toka ubelgiji mkaunganisha na poyoyo wenu Salum Mwalimu eti awe VP, Ponda akasema anasubiri kuapishwa Sasa mwapisheni huyo Lissu kwa kutumia mwanasheria wake Amsterdam acheni kulialia Tena.
 
Maandamano kususiwa na wananchi ni ishara kwamba hii vita ni ya wapinzani na masrahi yao wanataka tu kuwatumia wananchi.
Nachoamini ni kuwa wananchi bado wana imani na serikali yao na ingekuwa vinginevyo wananchi wangeshaikataa na sidhani kama wananchi wanapochoka wanamuhitaji ZITOMBO(muungano wa zitto na mbowe) au Salum Mwalimu kuwambia nini cha kufanya.
 
Aiseee....

Nimeiona clip ya vijana wenzetu askari wa FFU wakiwa barabarani kuwasubiri waandamanaji huku wakiimba "ninamsubiri mchumba eee,mchumba haonekani eee,nimeshachukua chumba eeee,mchumba haonekani weee"😂😂😂😂
 
Mimi niko upande wa haki na pia kiukweli sijawahi kuwa mtu wa siasa ila unapoona haki haitendeki inabidi nikemee ndio vitabu vyote vya dini zinavyosema. Dozi haitokolea kwangu ila vizazi vinavyokuja ndio vitaangamia wakati kundi la watu fulani ndio litapata manufaa, usawa utakuwa haupo. Unapotenda dhambi basi ile dhambi itakundama popote pale uendako.
Kuna siku niliahi kumueleza catherine ruge kuwa asiwaamini sana watu wanaomzunguka
Maana walimuhakikishia hakuna wa kukunyima haki yako, mara tupo pamoja hakuna kura itaibiwa.
Mwisho wa siku kabaki analialia, wale waliomuhakikishia watakuwa nae pamoja hawapo tena wanabaki kulalama kuwa haki hakuna, mara ccm hawafai, mara NEC ni wezi na blahblah nyingine
 
Ni nchi ya Tanzania Tu, mtu anaweza kufunguliwa mashtaka Kwa kuota,..,na kumbuka kisa cha Yule Mbunge Lema

Hizo vurugu hazijatokea,hayo maandamano hayajafanywa,sasa utamkamataje mtu Kwa kufanya vurugu?

God bless this shit hole Country called Tanzania
 
Aiseee....

Nimeiona clip ya vijana wenzetu askari wa FFU wakiwa barabarani kuwasubiri waandamanaji huku wakiimba "ninamsubiri mchumba eee,mchumba haonekani eee,nimeshachukua chumba eeee,mchumba haonekani weee"😂😂😂😂
Na Mimi nimeiona hiyo video chakushangaza muimbaji alikuwana lafdhi ya Kirundi..

Vile Vile Sare walizovaa sio za FFU ni za Jeshi
 
J
Na Mimi nimeiona hiyo video chakushangaza muimbaji alikuwana lafdhi ya Kirundi..

Vile Vile Sare walizovaa sio za FFU ni za Jeshi
Na Mimi nimeiona hiyo video chakushangaza muimbaji alikuwana lafdhi ya Kirundi..

Vile Vile Sare walizovaa sio za FFU ni za Jeshi
Mkuu wale ni askari polisi na si Jeshi la wananchi...

Kuhusu lafudhi ya kiongozi wa ile KWAYA Wala si ya Kirundi bali alikuwa ananogesha Kama wanavyoimba ndugu zetu WASAMBAA wa huko milimani LUSHOTO...
 
Kisa Mbowe, Zitto na Maalim, Lissu wamekosa ubunge na urais? Kaandamaneni kwa Amsterdam awape nchi.
Mkuu,mvutano wa wanasiasa ni mtaji kwa raia, kumbuka hilo

Ni mjinga na mpumbavu tu ndie anaewaza kams kuuwa upinzani ndio itaipa nafuu Tanzania na watu wake

Mawazo ya wengi ni mtaji wa Taifa

Nchi zote zilizoendelea hata Kama Chama pinzani hakina nguvu basi hupewa nafasi Katika baadhi ya maamuzi..

Mind set zetu Waafrika ndizo zinazotufanya tuwe Mataifa masikini Duniani, .

Maamuzi yetu yamejawa na hisia kuliko uhalisia,tunaamua bila kufikiri.

Tupo tupo Tu,We are the shit people from the shit hole country

God bless us
 
Aiseee....

Nimeiona clip ya vijana wenzetu askari wa FFU wakiwa barabarani kuwasubiri waandamanaji huku wakiimba "ninamsubiri mchumba eee,mchumba haonekani eee,nimeshachukua chumba eeee,mchumba haonekani weee"😂😂😂😂
Leo jamaa wangetekeleza matakwa ya mabeberu kwa Lissu Kama angeandamana.
Kumbe Chadema wachumba tuu na leo mngekuwa "chakra" ya ffu.
 
J


Mkuu wale ni askari polisi na si Jeshi la wananchi...

Kuhusu lafudhi ya kiongozi wa ile KWAYA Wala si ya Kirundi bali alikuwa ananogesha Kama wanavyoimba ndugu zetu WASAMBAA wa huko milimani LUSHOTO...
Oook,Mungu awape maisha marefu kwa kukubali kulitumikia kundi la watu fulani waitwao CCM..

Nasikia Wana miaka 5 hawajazidishiwa mishahara..
 
Back
Top Bottom