Uchaguzi 2020 Dar es Salaam: Watu watatu zaidi wakamatwa kuzuia maandamano

Uchaguzi 2020 Dar es Salaam: Watu watatu zaidi wakamatwa kuzuia maandamano

Ndugu haya ndio matokee ya uchaguzi mkuu JMT 2020. Aliyeshinda ni Dr. John Pombe Magufuli. Hakuna uthibitisho wa namna yoyote ile kwamba kura zilizopigwa siyo halali. Wananchi zaidi ya milioni 12 wameamuamua kumpa Dr. J.P. Magufuli miaka mitano tena ya uongozi wa nchi, sambamba na hilo wamewachagua madiwani, wawakilishi, na wabunge wanaoona wanawafaa. Ifike mahali muache kujiona kama nyie ndio mlifaa kushinda na siyo wengine.

View attachment 1617712
kwa analysis ndogo 5 nataka nikuoneshe kwanini tarehe 28 hakukua na uchaguzi huru&haki

1. Mfanano wa matokeo ya kura kati ya jimbo moja na jimbo lingine
kiuhalisia huu muujiza hata yesu hajawahi ufanya, idadi ya watu 19,975 kutoka jimbo moja wampe kura mgombea mmoja halafu jimbo hilo hilo limpe mgombea mwingine kura 11,955. halafu matokeo haya yafanane na jimbo lingine kwa idadi hiyo hiyo

Hiki kitu hakiwezekani ahasilani

1604303625095.png


2. kura zilizokamatwa kwenye mabegi zilizopigwa na mhuri wa tume kabisa ambazo zote zilimpigia magufuli, vipi kwa ambazo hazikukamatwa?

kumbuka ushahidi wa video upo na mashahidi walioshuhudia ni pamoja na polisi
1604304016298.png


3. Angalizo au tahadhari aliyoitoa lissu siku moja kabla ya uchaguzi wakati wakufunga kampeni yake, kua tume na serikali ya ccm tayari imetengeneza njama za kuingiza kura milion 12 kinyemela kwa ajili ya kumpatia ushindi raisi Magufuli

4. Kuzimwa kwa mitandao ya kijamii ni ushahidi kwamba kuna vitu illegal kuhusu uchaguzi huu vinafichwa ili ulimwengu usijue

5. Kuzomewa kwa mbunge wa dodoma aliyepita baada ya uchaguzi ni dhahiri kabisa kua hakuchaguliwa na wananchi
 
Huyu Mambosasa atasababisha vita kabisa mpuuzi sana.
Hakuna watz wenye huo ujasiri wa kupigana hiyo vita , mlivyo waoga waoga kama kuku broiler ndio maana maccm yanawageuza geuza kama Samaki
 
Halafu wanakosea wanaposema kwamba ni vurugu wakati ni maandamano ya amani kudai Uchaguzi huru na wa haki, Kudai Tume huru ya Uchaguzi, Uchaguzi uandaliwe sababu kilichofanyika Tanzania tarehe 28 hakikuw na sifa za kuitwa uchaguzi
Pole sana bro
 
Huyu Mambosasa atasababisha vita kabisa mpuuzi sana.
Hakuna Watanzania wenye huo ujasiri wa kupigana hiyo vita , mlivyo waoga waoga kama kuku broiler ndio maana maccm yanawageuza geuza kama Samaki
 
Huyu Mambosasa atasababisha vita kabisa mpuuzi sana.
Hakuna Watanzania wenye huo ujasiri wa kupigana hiyo vita , mlivyo waoga waoga kama kuku broiler ndio maana maccm yanawageuza geuza kama Samaki
 
Hakuna watz wenye huo ujasiri wa kupigana hiyo vita , mlivyo waoga waoga kama kuku broiler ndio maana maccm yanawageuza geuza kama Samaki
Acha ulofa wewe, na uwe na heshima pia maccm ndio nini? Sema Chama Tawala, Chama Imara, Chama dume, Chama bora Afrika na dunia. CCM
 
Hakuna watz wenye huo ujasiri wa kupigana hiyo vita , mlivyo waoga waoga kama kuku broiler ndio maana maccm yanawageuza geuza kama Samaki
Kama we siyo mbongo iambie nchi yako itest zari ione moto wake. Tanzania ni supper power East Africa mzaee
 
Wametoa notisi ya siku 48 kabla ya maandamano kwa Jeshi la polisi ?tusilaumu kama hawajafata sheria ni kosa kisheria ,sheria ya Jeshi la Polisi ipo wazi kabisa kinachowashinda kuandika barua nakuelezea dhumuni la maandamano ni nini...
Hii nchi siku hizi haiendeshwi kwa katiba na kwa tanzania mtu kuwa juu ya sheria sio jambo la kushangaza, wavunjifu wa sheria ni hao hao wakubwa. Fuatilia mienendo yao katika kampeni kisha linganisha na sheria za nec zinazompa muongozo mgombea

Suala la maandamano halipo kwenye katiba tu, ni jambo ambalo linatambulika na UDHR na sisi kama TZ tulisaini mkataba huo na kuahidi kuitekeleza
 
Sasa imekuwa kusema uwongo ndio utamaduni mpya wa Kitanzania, watu wanashindwa kujiamini, sasa hawa wamepewa vyeo vya fadhila au ujamaa au kujuana bila ya kutathmini elimu yao au utendaji wao...
Kuna wakati Humphrey polepole alikuwa anahojiwa akasema kama China kuna democracy basi nikajua tumemalizika kama taifa. Tutakuwa Taifa la majuha kila siku utaona press conference za kumpomgeza JPM.
 
Back
Top Bottom