Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Mabavicha yote leo fyekelea mbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye anapenda kuhudhuria pale wanakomsifia. Kwenye huzuni huta wawakilishi kwakuwa hakuna kikiHuyu baba ingependeza kama na kwenye msiba wa ile meli angehudhuria
Wacha urongoNiko na Chadema hapa tunasikiliza hotuba ya mheshimiwa wamenuna kwelikweli naona hawajapenda haya mafanikio wamebaki wakisema siyo flyover ila ni daraja ilimradi ni kuponda tu yaani wananongwa kwelikweli.
'MCHIMBA KISIMA HUINGIA MWENYEWE' au kuna msemo mwingine usemao 'DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE'Yaani ungejua anavyochukiwa,hujui kuna watumishi hawatoi misaada kwa ndugu zao kisa Dikteta ********.
Watu wanalalamika moyoni ila wapo kimya kwasababu ana tabia ya kuua(refer Tundu Lisu).
Sio bosi wangu,siku akifa nafanya sherehe,labda nitangulie mimi.
'MCHIMBA KISIMA HUINGIA MWENYEWE' au kuna msemo mwingine usemao 'DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE'
Wewe pia unaweza kuondoka kabla yake kwani kuna vijana na watoto wanaotangulia mbele ya haki wakaacha wazee wao wamekosa nini?????????????????????Hio ni misemo tu.
Mimi amenizidi 30yrs hivyo hata bila dua anaweza kutangulia yeye.
Ipo siku atakuwa mstaafu kwani Dikteta Idd Amin yuko wapi?
Wewe pia unaweza kuondoka kabla yake kwani kuna vijana na watoto wanaotangulia mbele ya haki wakaacha wazee wao wamekosa nini?????????????????????
Acheni sifa za kijingaKwa hiyo?
Bavichaa fyekelea kule, kwisha kazi yenu.Acheni sifa za kijinga
Tumejenga kwa fedha zetu za ndani. Tembea kifua mbere in .. Voice.
Si mnajitapa kwamba mna cash[emoji15] [emoji15]Kwa hiyo?