Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

Niko na Chadema hapa tunasikiliza hotuba ya mheshimiwa wamenuna kwelikweli naona hawajapenda haya mafanikio wamebaki wakisema siyo flyover ila ni daraja ilimradi ni kuponda tu yaani wananongwa kwelikweli.
Wacha urongo
 
'MCHIMBA KISIMA HUINGIA MWENYEWE' au kuna msemo mwingine usemao 'DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE'
 
Hio ni misemo tu.
Mimi amenizidi 30yrs hivyo hata bila dua anaweza kutangulia yeye.
Ipo siku atakuwa mstaafu kwani Dikteta Idd Amin yuko wapi?
'MCHIMBA KISIMA HUINGIA MWENYEWE' au kuna msemo mwingine usemao 'DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE'
 
Hio ni misemo tu.
Mimi amenizidi 30yrs hivyo hata bila dua anaweza kutangulia yeye.
Ipo siku atakuwa mstaafu kwani Dikteta Idd Amin yuko wapi?
Wewe pia unaweza kuondoka kabla yake kwani kuna vijana na watoto wanaotangulia mbele ya haki wakaacha wazee wao wamekosa nini?????????????????????
 
Yeye pia anaweza kuondoka mapema kwani hakuna wazee wanao ondoka mapema,mimi nitaweka sherehe wala sitaki kuwa mnafiki.
Wewe pia unaweza kuondoka kabla yake kwani kuna vijana na watoto wanaotangulia mbele ya haki wakaacha wazee wao wamekosa nini?????????????????????
 
Mimi nadhani hapo Tazara tungejenga interchange badala ya overpass!Watakaobaki na foleni ni Mandela road,Nyerere road wenyewe hakuna kusimama
 
Hizi ngoma nyingi ni kikwete play maker Ila hawamtaji kabisa
 
Fuatili habari kwa Makini usijikute Siku nyingine unaleta habari ambayo haija kamilika Hapo pia serikari imetoa pesa yake japo serikari umetoa kiasi Fulani cha pesa kifupi tu wamepunguziwa,Siku nyingine leta habari iliyokamilika mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…