Don Moen
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 1,636
- 3,142
Wameanza maandalizi ya ujwnzi tangu Nov 2020Kwa waliokuwepo karibu na eneo la tukio, tunaomba picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameanza maandalizi ya ujwnzi tangu Nov 2020Kwa waliokuwepo karibu na eneo la tukio, tunaomba picha
Acha ushabiki maandazi wa kiccm, unataka kumsingizia CAG kuwa mzushi?Duuu, kumbe hadi uhasibu? Mi nadhani ule wizi unaosemwa ni CAG ni wizi wa ajabu sana, maana kadri walivyoiba ndio miundombinu zinakuwa bora, waongeze tu kasi ya kuiba kwa kweli
Wewe ndugu utakuwa na matatizo ya akili. haiwezekani uone flyover kwa macho yako alafu utuletee taarifa kwamba sisi tukupe picha.Kwa waliokuwepo karibu na eneo la tukio, tunaomba picha
Kikubwa ni miundombinu inayoonekanaMbona ni kama baadhi ya MATAGA mmeanzisha uzi na kujijibu wenyewe.
Mkuu hiyo mbona kwa tunaopita hapo kwa mishe zetu kila siku tunaona maendeleo yake....wanajitahidi kwa kweliKwa waliokuwepo karibu na eneo la tukio, tunaomba picha
Hili jibu limenifurahishaSasa punguani ni mimi au wewe unaebisha bila hoja, kwamba sijaona picha ya makalio yako means huna makalio?
huko kijijini kwenu barabara hazipitiki, unasafiri kilomita 40 kwenda hospital, kilometa 20 kwenda shule au shule za makuti
umepanga chumba kimoja buza kazi kusifia wizi na flyover za DSM
watanzania mtanyonwa hadi makalio na ccm mpaka hapo akili itakapo warudia
Huna hoja, basi angalau jiheshimu
Wewe ndiye mwendawazimu, wale ambao hawajaona kwa macho yao wataonaje bila picha?Wewe ndugu utakuwa na matatizo ya akili. haiwezekani uone flyover kwa macho yako alafu utuletee taarifa kwamba sisi tukupe picha.
You are completely a Psychiatric case
Hii ndio silaha ya mwisho ya mjinga.
Bado kabisa ndo ipo kwenye hatua za mwanzo hata zege halijaanza kumwagwaKwa waliokuwepo karibu na eneo la tukio, tunaomba picha
Mchango wao kwenye pato la taifa ni kiasi gani?huko kijijini kwenu barabara hazipitiki, unasafiri kilomita 40 kwenda hospital, kilometa 20 kwenda shule au shule za makuti
umepanga chumba kimoja buza kazi kusifia wizi na flyover za DSM
watanzania mtanyonwa hadi makalio na ccm mpaka hapo akili itakapo warudia
Sasa punguani ni mimi au wewe unaebisha bila hoja, kwamba sijaona picha ya makalio yako means huna makalio?
Ni kweli aisee, hata pale uhasibu kuna nyingine inajengwaAcha uongoo
Duh!!..huko kijijini kwenu barabara hazipitiki, unasafiri kilomita 40 kwenda hospital, kilometa 20 kwenda shule au shule za makuti
umepanga chumba kimoja buza kazi kusifia wizi na flyover za DSM
watanzania mtanyonwa hadi makalio na ccm mpaka hapo akili itakapo warudia
Hata zege bado halijawekwaUongo wakati mi nimeona kwa macho yangu, umepita saa ngapi hapo leo? Nenda pale sasa hivi uone kwa macho yako, na usisahau kutupigia picha