Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

Ewaaaa... maana ukiwasikiliza hapa wanavyokandia sijui mali mali mali wakati tumeziacha hata makwetu.
wana jidanganyaga sana aisee!
wazee wa kichaga wana penda wakwe wao na wajukuu sana!
Mzee wanguu mara kibao tu nilikuwa ninaona akisema nina mpa mume wa Dada yako yii dah!
eti hataki wajuku wake wapate taabu!!
siku moja broo wangu aka mzingua mzee wangu alitoa cash ndefu kweli kwa Bwashee!! mzee naye aka mjibu una ona Dada yako anavyo fanana na mimi kama wewe!! sasa watoto wake ni wajukuu wangu 100% wewe kwanza na mambo yenu ya siku hizi una weza pigiwa ni kadhani ni wajukuu wangu kumbe wapi!
huyu mkwe ata akipigiwa bado hao ni wajukuu wangu!! mzee alikuwa mnoko ukiingia kwenye 18!!
 
wana jidanganyaga sana aisee!
wazee wa kichaga wana penda wakwe wao na wajukuu sana!
Mzee wanguu mara kibao tu nilikuwa ninaona akisema nina mpa mume wa Dada yako yii dah!
eti hataki wajuku wake wapate taabu!!
siku moja broo wangu aka mzingua mzee wangu alitoa cash ndefu kweli kwa Bwashee!! mzee naye aka mjibu una ona Dada yako anavyo fanana na mimi kama wewe!! sasa watoto wake ni wajukuu wangu 100% wewe kwanza na mambo yenu ya siku hizi una weza pigiwa ni kadhani ni wajukuu wangu kumbe wapi!
huyu mkwe ata akipigiwa bado hao ni wajukuu wangu!! mzee alikuwa mnoko ukiingia kwenye 18!!
Hahahahha kulaalekiii
 
KUKAMATWA KWA MTUHUMIWA ALIYEMCHOMA MOTO MPENZI WAKE NDANI YA NYUMBA

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Grace Janes Mushi (25) kwa tuhuma za kumchoma moto ndani ya nyumba aliyekua mpenzi wake aliyefahamika kwa jina la Khamis Abdallah (25).

Tukio hilo limetokea tarehe 16.07.2021 majira ya saa nane na nusu usiku huko maeneo ya Mbezi Makabe kwa Mzungu Wilaya ya Ubungo.

Mtuhumiwa Grace majira hayo ya saa nane usiku aliamka na kumfungia mlango kwa nje Khamis Abdallah kisha kumwagia mafuta ya petroli nyumba hiyo, kitendo kilichopelekea Khamisi kuungua na kufariki dunia akiwa ndani.

Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa kimapenzi.

Imetolewa na :-
MULIRO J.MULIRO- ACP
KAMANDA WA POLISI,
KANDA MAALUM,
DAR ES SALAAM

Pia soma > Dar: Amchoma mumewe na Petroli kisa wivu wa mapenzi
Du....
Oa mpalestina upate joto ya jiwe.
 
Wallahi bora nichomwe moto na mwanamke chuchu chuchu kweli Konzi kama zote sio kama hilo bata utopolo likifua hovyo kabisa. Hata kwa mpalange bata kama hilo utamu utakuwa wa matopolo tupu.

Daah sijui tunakwama wapi. Bila chuchu konzi hio ni scrapper, tupa huko wacha wengine wapimishe.
Huo moto angekuchoma chuchu chuchu ,ungekuwa wabandia hauunguzi ? Fire is not a living things,it depend to the catalyst or materials used to burnt.Hujasikia matukio watoto wadogo wanasababisha nyumba kuungua?. Moto ungekuwa unawaskia ungekuwa unagoma kuwaka
 
Hahaha jamaa alipoambiwa tu,nmepokea hela ya mchezo njoo tuonane,jamaa faster kabadili gia a gani kmfata kmbe mtego

Ova
Kumbe demu kajipigilia mibomu mwilini anasubiri afike amlipulie[emoji1787][emoji1787]
 
Tunaongea kama utani ila kifo cha moto ni kibaya sana. Marehemu ameteseka sana mpaka anakufa. Inatia huzuni mno. Tujifunze kuzimudu hasira zetu [emoji17]
Mkuu kifo cha moto sio kigumu sana maana kabla hujafa unazimia kwanza sababu ya moshi mzito, so ukiungua hausikii ukizinduka unajikuta upo kwa Sa God.

Wanao ungua hadi kufa ni wale wezi wa tairi wale ndio wanaiona joto ya jiwe, ila hawa wa kufia ndani ya nyumba wengi wanazimaga kwanza

Sent from my TECNO KITOCHI using JamiiForums mobile app
 
Ivi nyie mnao generalise wachaga wana roho mbaya niwaulize kwani ni Wachaga wamechoma iyo nyumba? Mbona mnatuonea mimi hata siwafahamu ao ila mshanihusisha kweli hii ni sawa?
 
kuna huyu mtoto wa kichaga niko nae akiniomba simu yangu nakuwa mkali bas huwa ananiangaliaa hasemi kitu unaona anaimana kama anatunga sheria.af siku huzi nikilala nae hasinzii kama zaman anajidai kusoma novel

wakuu hapa kuna usalama kweli.
 
Halafu eti mchagga awe Rais wa nchi hii ? Thubutu
Kuna jamaa alimchoma mkewe kwa magunia mawili ya mkaa.

Tukiambiwa kisasi cha mwanamke ni funga kazi tuelewe.

A sane person will commit a crime huku ana plan ya kutojulikana just like anko wa magunia mawili but this lady? She just burnt the whole house with zero fvcks on getting caught.
 
Malayaa Hana akili.kwelii HUOO uchiwakee ushatumika anajifanya bikira asiibiweeeeeee kha
 
wana jidanganyaga sana aisee!
wazee wa kichaga wana penda wakwe wao na wajukuu sana!
Mzee wanguu mara kibao tu nilikuwa ninaona akisema nina mpa mume wa Dada yako yii dah!
eti hataki wajuku wake wapate taabu!!
siku moja broo wangu aka mzingua mzee wangu alitoa cash ndefu kweli kwa Bwashee!! mzee naye aka mjibu una ona Dada yako anavyo fanana na mimi kama wewe!! sasa watoto wake ni wajukuu wangu 100% wewe kwanza na mambo yenu ya siku hizi una weza pigiwa ni kadhani ni wajukuu wangu kumbe wapi!
huyu mkwe ata akipigiwa bado hao ni wajukuu wangu!! mzee alikuwa mnoko ukiingia kwenye 18!!
Fact
 
Kuna jamaa alimchoma mkewe kwa magunia mawili ya mkaa.

Tukiambiwa kisasi cha mwanamke ni funga kazi tuelewe.

A sane person will commit a crime huku ana plan ya kutojulikana just like anko wa magunia mawili but this lady? She just burnt the whole house with zero fvcks on getting caught.
Ingawa Grace atasota jela au kunyongwa binafsi nimefurahia alichokifanya.
 
Back
Top Bottom