Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hilo neno kuna member kule kwenye Uzi wa Rikiboy(Masihara) alileta kisa chake akalitumia..Nimemsahau jina..

Kuanzia hapo likawa Maarufu humu JF..
Hahahaha aisee... basi naona mpk twuta limeanza zoeleka. Japo nadhani ni wadau wa humuhumu wanapelekaga kule pia
 
Wachaga wa Machame wamefanya tukio tena. Rip mwana tulimshauri sana juu ya wanawake wa kichaga akakaiidi. Ona sasa.
Haya "maroho ya mauti" ya Kimachame, wachaga inabidi wayabatilishe.kila siku ukisikia mwanamke wa kichaga amefanya ukatili mkubwa utakuta ni wa mmchame.lakini wanawake wa kimachame wanaongeaga vizuri kweli,Si rahisi kujua wamebeba mauti.
 
huyu mchaga niliyenae ngoja nianze kumtoka nduki nsije banikwa na mm
Hama nchi atakusaka, nina bahati mademu wa kichaga niliokuwa nao tumeshapigana chini maana kuna kipindi mipango yangu ya mapene ilishuka. Kwa sasa akija mpalestina lazima nikabidhi mali zote kwa mama tuanze naye mikono tupu......kama hataki asepe....
 
Hama nchi atakusaka, nina bahati mademu wa kichaga niliokuwa nao tumeshapigana chini maana kuna kipindi mipango yangu ya mapene ilishuka. Kwa sasa akija mpalestina lazima nikabidhi mali zote kwa mama tuanze naye mikono tupu......kama hataki asepe....
hahahaha eti mpalestina
 
Maskini. I feel u. Inaumizaa. Ila niliapa, naolewa leo hii, eti nitoe hela ya mahari ninpe jamaa akanilipie, ama nijinunulie gauni ya harusi ama pete. Varimu vangwae. Ngife sha kite cha msio. Mbutukuna ehh. Ngebaaliya ado kuee. Bora nilishe familia miaka yote ila siyo hilo.
muda tu ndiyo utasema
 
hahahaha eti mpalestina
Unajua mkuu, ukioa mpalestina usijiweke kimbelembele kwamba unamiliki chochote, kama ni nyumba au magari mwache aandike jina lake na watoto wake, wee kaa pembeni kabisa na kama kaamua kukutimua beba begi lako la nguo sepa....
 
[emoji23][emoji23] wana pora pesa za Dada zetu wana weka bando wanakuja kuwatukana huku kwenye mitandao mkuu!
wanyooshwe tu!
Dada zetu wapole sana ila wana pewa sifa mbaya za uwongo!
mbaya zaidi wana wadanganya na kuwa geuza Dada zetu ATM za bure
Wachaga ni wabahili hatare
 
Unajua mkuu, ukioa mpalestina usijiweke kimbelembele kwamba unamiliki chochote, kama ni nyumba au magari mwache aandike jina lake na watoto wake, wee kaa pembeni kabisa na kama kaamua kukutimua beba begi lako la nguo sepa....
Hahahahahah nimecheka knoma😂😂😂 mkuu hebu niache kidogo
 
kweli kabisa mkuu hawanaga shidah watu wana wazinguaga tu!
Me Dada yngu katoa tarifa nina kuja kuwatambulisha mchumba wangu na tumesha panga na siku ya kufunga ndoa
hakutaka kuhojiwa wala mazungumzo mengi siku imefika nipo kwenye angle 45° kwenye kuta nina sikia sister ana ongea nimesha kutumia laki 7 ongezea chukuwa suti nyeusi na viatu 🙄
nikatambaa zangu taratibu maana ni haki yake ila angejisikia vibaya pengine akijuwa nime sikia!!
muda umefika mjuba kaibuka suti yake nyeusi!
anyway ndio maisha kupanga ni kuchagua nina waombea Mungu ila sijui siku wakizinguana itakuwaje nina uona uwekezaji unaendela!!
Hahahahahah kumbe ndio maana una hasira 😅😅😅 dada zenu wantupenda vijana wa mjini sababu tu vitu flani adimu sana ambavyo vijana wa migombani kwa wala mbege hawana!

Suti laki 7 jamaa ametekenya kwa mpenzi wake ambaye ndio dada yako ili aje kujitambulisha kwenu 😅😅😅 tuwaombee uzima tu jamani. Mapenzi yao yako full chaji!!!
 
mkuu bila kunywa vichwa vitapasuka 😂😂😂
wa chukuweni kwa wingi wakiwa na watoto tuna furahi sana kuwa na wajomba sana aisee me nimechagua kumlipia mjomba wangu mmoja ada !
Maana nina mpenda sana mjomba nina muitaga Ndugai maana ni wapande hizo!
Ngoja nimsake dadaako mmoja aisee wana roho nzuri sana hao!
 
Hapa ndio maisha yake yalikomea
Screenshot_20210717-152111.jpg
 
Si ni bora umelala yooh baba umelala huku ukiwa umekula mbususu?[emoji23][emoji23]

Hivi wadah hili neno la mbususu limetokea wapi? Nini source ya hili neno...[emoji23][emoji23] its very funny
Hilo neno asili yake ni Moshi na kule maneno mengi wanakopaga Kenya 😅😅😅
 
Majority ya wanawake wanaotetea huu ujinga ni malaya wapunguza umri kama malaya mwenzao mwenye above 40 anajifanya 25 anatombwa kwa kuhonga Mario.
 
Wanawake wakipenda hawaelewi kabisa......nahisi huumia kuliko wanaume wanavyoumizwa....hili tukio ni la kikatili sana hata kama kaumizwa hakustahili kufanya tukio hili.

Ujumbe.
Wanawake punguzeni mihemko katika mapenzi na tamaa ya mali.
 
Hahahahahah kumbe ndio maana una hasira 😅😅😅 dada zenu wantupenda vijana wa mjini sababu tu vitu flani adimu sana ambavyo vijana wa migombani kwa wala mbege hawana!

Suti laki 7 jamaa ametekenya kwa mpenzi wake ambaye ndio dada yako ili aje kujitambulisha kwenu 😅😅😅 tuwaombee uzima tu jamani. Mapenzi yao yako full chaji!!!
Dada zangu bana wana vurugwa wakisikia tu rafiki yake Kaole na yeye ata taka kuolewa ata kwa kuonga mali za uridhi alizo achiwa ilimradi tu atulize moyo wake kumbe wapi mnawapiga Pesa bila huruma mamaeee 😂😂😂😂
Mkuu wata kuja kuwazingua mkiwazingua sisi tuna semaga kwani mlipo kutanaga sisi tuna juwa mliongeaga nini Babaangu?
Na nikuulize uyu bint ulivyo kutana naye alikuwa ana shida ya chakula au sehemu ya kulala?
Na lengo lako au lenu ilikuwa kugombana!?
kama ni hapana na sisi hatuna uwezo wa kusuluhisha huyu kitanda chake bado kipo muache kwanza we nenda akiwa sawa ata kutafuta!!?
kama ni wajukuu babaangu tuta kusaidia kusomesha wala usiwe na wasi wasi!
ukiondoka tuna mwambia Manka ishi, ishi, mwenyewe pesa ya kula tutakupatia na mtaji kidogo mama!
fikiria ukiona hapana rudi aka kuuwe 😂
 
Back
Top Bottom