Huyo anapita anafikiria wapi akatoe loku. Unaishi Tanzania halafu hujui akili zao?Nime prove kweli Watanzania ni nyumbu yaani hataki hata kuangalia au alikuwa ni mwenzao.
View attachment 3150769
Kama huna cha kuongea piga kimya.Nje ya siasa nilazima kila Raia wa Taifa hili ajuwe yeye na kizazi chake crime is dangerous and it can end you are life.
Nimeweka hii video kuonyesha vile huko Kenya watu walikuwa wana uwawa live kwa uhalifu.
Hatuwezi kuruhusu Taifa hili kuwa lamajangili ni hatari kwa uwepo wetu. Uhalifu wa aina yeyote hauwezi vumiliwa. Yaani kama mnafikiri huyu mama mtamgeuza kama chapati basi msije jishangaa mkageuzwa kama chapati.
Imagine watekaji nao wznaaamka asubuh eti wameenda kazini....kuchinjaa watu.Hii ni laana
WE jamaa tulishakujua una shida sanaNje ya siasa nilazima kila Raia wa Taifa hili ajuwe yeye na kizazi chake crime is dangerous and it can end you are life.
Nimeweka hii video kuonyesha vile huko Kenya watu walikuwa wana uwawa live kwa uhalifu.
Hatuwezi kuruhusu Taifa hili kuwa lamajangili ni hatari kwa uwepo wetu. Uhalifu wa aina yeyote hauwezi vumiliwa. Yaani kama mnafikiri huyu mama mtamgeuza kama chapati basi msije jishangaa mkageuzwa kama chapati.
Usihukumu mapema hujui nini kilitangulia kabla ya hiyo Hijack.Daah raia wanaangalia tu kama movie vile na jamaa analia akiomba msaada. Hapoa kwenye hiyo resolt hamna uongozi, wala mtaa hauna uongozi.
Inasikitisha sana, usitegemee msaada toka kwa waTz hasa mijini.
Watawala wameifanya Nchi hii ili uwe salaama anzisha vijiwe vya kujadili mambo yaJe,Huyo Mtu kajulikana?
Je ni kwa sababu zipi walitaka kumteka?
Je alikuwa anatumia mtandao gani kwenye simu?
Je alikuwa anatumia social media gani kwenye mtandao (kisiasa) Instagram, Twitter, Facebook, au JF?
Bora uongelee Miziki, Simba, Yanga, Pombe au msambwanda n.k ili wasikuteke.
Muda umefika Mungu aingilie kati.
Huko Mara nadhani Tarime amebebwa mtu mbele ya mwanawe siku za karibuni. Hujaona taarifa mitandaoni?Ingekua Tarime wangeshawaka moto.
Sio mda Nina la huyu jamaa litawekwa hadharaniFind this niga please
View attachment 3150699
Hii tabia ya askari kukodisha wahuni ili wafanye uhalifu kwa niaba yao haikubaliki.Hii video inatakiwa isambazwe maana hao wamejitambulisha eti wao ni askari, ni wauji kabisa na watekaji
Sehemu kama hio inasemekana alienda kwa ajili ya business meeting huenda sio maeneo yake.Watanzania sisi ni zaidi ya NYUMBU, kumtetea mtanzania ni kazi hao aliokuwa labda anawapambania mtandaoni mara kwa mara wanamtizama tu, lakini swali, je maeneo hayo, hana kaka, hata ndugu wa karibu, hata wana ambao huwa wanagonga cheers pamoja kwenye ulabu hakuwepo?
Hayo ndio maisha ya watanganyika toka zamani, watanganyika sio watu wa kusaidiana.Yawezekana kabisa kutokana na dhana kwamba usanii walipa pengine watu walidhani wasaniii walikuwa kazini.
Kumbe kiuhalisia mtu atekwa hadharani. Pia kuna jamaa hapo kapita tu bila hata kuangalia kinoendelea.
Mzee Ali Kibao (RIP)alitekwa kutoka kwenye basi na abiria wengine wakiwa hawana cha kufanya na kwenda kuteswa kisha kuuawa.
Hata kama... Lazima wangejitambulisha hata kwa mwenye jengo. Na wangekuja na usafiri unaeleweka.Hatari sana hii
Ttz unaweza kuta mtu mnamuona kitaa ila mishe anazo fanya nyeusi ndio maana watu hawataki kuweka dhamana
Alafu bi Chura atakwambia hizo ni drama wengine wanajiteka!Jamani Mafwele na genge lake la Task force atamaliza watu.
Wewe kama mimi .ningeponda hata gari kioo aise. Siwezi kutizama ujinga huu neverMimi ningeingilia tu hapo potelea pote
Ni kweli tuendako mkienda kumchukua mtu bila kufuata taratibu mtapigwa live!Tusishabikie kila kitu nakubpost pamoja na makosa mengine uhalifu umekuwa mkubwa sana kwa kiwango cha kutisha huko mbeleni watu watapigwa risasi live sitaki kuamini huyu ni mtu wakisiasa lazima atakuwa kuna jambo anafanya na walikuwa wana msaka.
Nje ya siasa uhalifu dhidi ya Taifa lako ni jambo la hatari kwa maisha yako. Mama mkanye mwanao mama mkanye mwanao.
Majina ya Hawa yakiwekwa Hadharani ndio kinatokea nini? Mbona waliwekwa Hadharani na wengine wanatiwa kina Mafwele Hadi picha zipo lakini si wapo wanaendelea na mishe zao au?Sio mda Nina la huyu jamaa litawekwa hadharani
Polepole ndio mwendo 😱 !Yani taratibu tunakuwa kama southafrica, uhalifu unafanywa mchana kweupe watu wanaangalia tu