Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Uchukuaji wa Tukio ulishindw chukua plate number za gari ___


Tule tunenepe itatusaidia kutokutiwa nguvun kirahis
 
Polisi wanadai kwamba bwana huyo anaitwa Deogratius Tarimo ambae ni mfanyabiashara wa Kibaha na kwamba Kuna watu walikuwa wanawasiliana nae Kwa Ajili ya kukutana hapo Hotelini.

Ikumbukwe taarifa za X zinadai hao Jamaa ni undercover wa kitengo Chao na Baadhi wamewatambua kwamba wanafanya kazi huko huko Kibaha nk
Taratibu tu mnachokitafuta mtakipata.

Ok nani anayeruhusiwa kumiliki pingu Tanzania??
 
Uchukuaji wa Tukio ulishindw chukua plate number za gari ___


Tule tunenepe itatusaidia kutokutiwa nguvun kirahis
Hata wangechukua number plate isingesaidia hao polisi wanaweka fake number plate wakienda kwenye tukio.

Moja watu waliwahi piga picha katika kuverify wakakuta ile namba na aina ya gari iliyosajiliwa haviendani.

So tumshukuru aliyechukua video sura ndio zilikuwa muhimu sana na sasa wawili kati yao wameshajulikana kwa majina ila nina uhakika hawatofanywa chochote kisheria bali watawajibishwa na maboss wao kwa kufeli zoezi.
 

Wakuu,​


Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.

=====

Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;

"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.

Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Upolisi ni kazi ya laana
 
Hao ni watekaji au ni wapumbavu tu? Mbona wanyonge nyonge sana??
Halaf nyie mnaolaumu watu hawamsaidiii ni hao wakina dada pembeni hapo na hivyo vitoto ndio wa kumsaidia tena mitaa ya uswahili mida hio??
Lawama za bure.
Kikubwa Mwamba kapambana haswaaa. Halaf huyu sio bonge tu mwamba inaonekana nae ni mkali wa hizi kazi sio kitoto. Kavimba kishenzi pale mlangoni katanua mikono asiingie ndani, hii technique hawez fanya mtu mzembe mzembe.
Nimewadharau sana hao watekaji, sijui walitumwa kuja kuigiza au vip? Hawako serious na kazi au hawana uwezo wa hizo kazi.
Mwamba kawanyoosha haswaaa.
 
Hata wangechukua number plate isingesaidia hao polisi wanaweka fake number plate wakienda kwenye tukio.

Moja watu waliwahi piga picha katika kuverify wakakuta ile namba na aina ya gari iliyosajiliwa haviendani.

So tumshukuru aliyechukua video sura ndio zilikuwa muhimu sana na sasa wawili kati yao wameshajulikana kwa majina ila nina uhakika hawatofanywa chochote kisheria bali watawajibishwa na maboss wao kwa kufeli zoezi.
Ila tusiache fanya hvyo maan tutafichukua mengine.
 
Back
Top Bottom