Dar kama hujaja siku nyingi siku ya kuja lazima udakwe na kichefuchefu

unafikiaga Dar sehemu gan masta
 
Kuna kipindi nilienda CA nilipata mualiko huko nikaenda kama miezi mitatu siku nilivyorudi Tz kwakweli nilihisi Dar kuna hali ya hewa chafu sana ila baada ya wiki nikazoea nikaona hali ya kawaida ile hewa chafu nikawa siihisi tena.

Ni miundombinu mitaro imejaa maji taka haizibuliwi masoko ni machafu sana, mitaa haizingatii usafi kwahiyo ukienda sehem wanayo zingatia usafi Au ukatokea sehem safi na ukaenda sehem ambayo hawajali usafi lazima uhisi hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…