Dar: Kijana wa miaka 21 AJITOSA kumuoa Mama wa MIAKA 49, Wazazi wamtenga, KAFA KAOZA, atangaza tarehe ya Harusi

Acha mwenzio akunwe[emoji16]
 
Namuonea huluma sana, mwanamke wa kiisilamu unaritadi sababu ya huyo kijana acyekuwa muisilamu!!! Atapata anachoctahili kwa Mwenyezi Mungu kama hatarudi kwenye dini ya haki.
 

Kwenye namba 1 na 4, hujui usemalo [emoji23]
 
Enenda ukamlee vema mwanangwa pamoja na wadogo zake, wanawe wa kufikia
 
Aangalie asije kula kuku na vifaranga vyake.
 
wamama wa design hii ukute hapo yeye anataka kukunwa tu maana kwa umri huo mwingine ndio genye zinakua juu sasa usiombe muwe mnakaa kwenye nyumba mko wawili tu apo ndani ni kutembea uchi tu wakati mwingine kitu inasimamia ndani
Wazinzi bana πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nilivyosema yeye hana aibu, nilimaanisha mama.
Tazama vizuri hiyo clip utaona mama analazimisha na ndiye head of house hold. Kijana akianza kujitambua ndoa chali. Kijana unaona alivyo na aibu na mama anaonesha ushindi.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] watafanana baadae wakiwa kweny ndoa mwanaume atazeeka kwa stress za ndoa na mwanamke atanawiri kwa kuwa mmiliki
 
Namuonea huluma sana, mwanamke wa kiisilamu unaritadi sababu ya huyo kijana acyekuwa muisilamu!!! Atapata anachoctahili kwa Mwenyezi Mungu kama hatarudi kwenye dini ya haki.
Kwa sasa dunia inavyoenda kila mtu anajali furaha yake ila wenye kuwa na hofu ya Mungu niwachache hivyo tuacha watu wafanye yao nikuwaombea tu nasio kuwalaumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…