Dar: Kijana wa miaka 21 AJITOSA kumuoa Mama wa MIAKA 49, Wazazi wamtenga, KAFA KAOZA, atangaza tarehe ya Harusi

Ww unashangaa hii couple ?/alikuwepo kijana flan ali date na mstaafu ambae pia alikuwa ni mbunge ... Yule bi maza akamfazili mwana masomo yake ya MD kisha baada ya miaka kadhaa jamaa akaja kuzingua .............
Akijitokeza mother mstaafu tena kama huyo nishtue mkuu nahitaji kuuona ufalme wa maisha mazuri siunajua Chief Hangaya kakaza? Hakuna hela wala nn bora niwe Marioooo.
 
Wanafanana ujinga.
 
Sasa kijana wa miaka 21 anakwenda kuoa menopause hataki watoto?
Anaweza kuwa hataki watoto au tayari ana watoto lakini je, alichofuata hapo ni ndoa?

Au umarioo/maslahi/kitonga/kulelewa/au ngono tuuuu
 
Anaweza kuwa hataki watoto au tayari ana watoto lakini je, alichofuata hapo ni ndoa?

Au umarioo/maslahi/kitonga/kulelewa/au ngono tuuuu
Tusicho fikiria ni aging process, unamuoa mwanamke mkubwa kwako kwa miaka 20+. Ule wakati wa kibofu kuleta matatizo kwa mama wa 60+ kijana wa miaka 40 ataelewa!
 
Rafiki yangu alizimia kumuona mchumba wa mwanae wamepishana miaka michache tu na mama mkwe. Alipozinduka anamkuta kijana wake amekunywa sumu.

Mitoto mingine sijui ujinga wanajifunzia wapi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Msaidizi si ndiye huyo kijana kaja sasa ndo muda umefika Mungu kawakutanisha!
 
Anaweza kuwa hataki watoto au tayari ana watoto lakini je, alichofuata hapo ni ndoa?

Au umarioo/maslahi/kitonga/kulelewa/au ngono tuuuu
Kapigwa juju na hilo li mothelii [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…