Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,777
Akijitokeza mother mstaafu tena kama huyo nishtue mkuu nahitaji kuuona ufalme wa maisha mazuri siunajua Chief Hangaya kakaza? Hakuna hela wala nn bora niwe Marioooo.Ww unashangaa hii couple ?/alikuwepo kijana flan ali date na mstaafu ambae pia alikuwa ni mbunge ... Yule bi maza akamfazili mwana masomo yake ya MD kisha baada ya miaka kadhaa jamaa akaja kuzingua .............