Dar: Kijana wa miaka 21 AJITOSA kumuoa Mama wa MIAKA 49, Wazazi wamtenga, KAFA KAOZA, atangaza tarehe ya Harusi

Dar: Kijana wa miaka 21 AJITOSA kumuoa Mama wa MIAKA 49, Wazazi wamtenga, KAFA KAOZA, atangaza tarehe ya Harusi

Kama wameridhiana na wanafuraha basi kila la heri kwao.
 
Yupo mmoja analea mariooo, yaan anawabadilisha kama pichu ila ajabu kila mwaka marioo wake mmoja ana tangulia kwa MAULANA,
Vipi niku connect nae ?
Nani afe ww? [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Yupo mmoja analea mariooo, yaan anawabadilisha kama pichu ila ajabu kila mwaka marioo wake mmoja ana tangulia kwa MAULANA,
Vipi niku connect nae ?

Kila nafsi itaonja umauti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uyo mama na uyo kijana waachwe wajilie vyao,vibinti vya kisasa navyo vinachosha, pia umri unaenda,huu ni msemo kwa wanaokuona lakini mwenyewe uoni kama umri unaenda ila namba tu ndo zasonga,
 
Chinekeeeeeeeeeeeeeee[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] kuuuumbe kuchokwaaaaa!!!!! Umeniosha macho aisee!!!
Kulala na kuamka na mwanamke yuleyule kila siku inachosha sana, unakuta anabadili chupi, sidilia muda wote mbele yako ile hamu polepole inapungua.
 
Back
Top Bottom