kilamuruzi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,232
- 1,075
Kuna yule mhindi alikuwa analalama kudhumiwa haki zakeHapa atasingiziwa Makonda, ila sio yeye hawezi fanya kitu cha kipuuzi kama hiko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna yule mhindi alikuwa analalama kudhumiwa haki zakeHapa atasingiziwa Makonda, ila sio yeye hawezi fanya kitu cha kipuuzi kama hiko.
Dah ! Nouma sana !
Katika hili naamini.kbsa makonda hahusiki ila hao gsm kumbe ndio wale homeshoping center ni watu wabaya sana hao na wamerudi kwa kasi si ajabu utasikia kiwanda kilokuwa na mkopo.wanataka sababu ya kulipwa tena kutokana na janga hilo naamni hii issue imetengenezwa na hawa jamaa na wale vigogo wa bwagamoyo ni marafiki wakubwa kbsa...Kuna moshi mzito anga la Mwenge, Mawasiliano na Ubungo. Inasemekana Kiwanda cha Magodoro GSM kinateketea.
---
Kiwanda cha kutengeneza magodoro kinachomilikiwa na Kampuni ya GSM kilichopo Mikocheni jijini Dar es Salaam kimeungua moto
Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana kwa sasa.
View attachment 2148653
Soma > Baada ya kiwanda kuwaka moto GSM wasema “Tumepata hasara kubwa sana, hakuna kilichosalia"
Haya magodoro sio mara ya kwanza kuungua. Hapa ni INSURANCE FRAUD inaendelea, hawa waarabu wataumalizia mifuko yetu ya bima na kuifilisi kabisa
Hii dhana ya pili sio rahisi, hana mbavu hizo sasa hiviUnachoma moto mwenyewe alafu unatengeneza mazingira fulani aonekane ndiyo kafanya hayo...
Au...
Fulani kweli katuma wasiojulikana kufanya hayo, kuoneshana misuli...
Ajibu aliyeleta picha ya moshi badala ya picha ya kiwanda kinachoungua.Moshi wa Kiwanda upoje?
Wee mchaga wa Rombo jukwaa hili hauliwezi nenda baa kauze nyama choma na ndisi.Mpumbavu wewe