pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Mifisadi ina mbinu nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaza kisomi zaidi ChifuNyie nyie watu wanacheza chess. Wameamua wasacrifice mali ili lao liende. Modus operandi ya Makonda haiko hivi. This is just too obvious. Pia kuna uwezekano mtu wa tatu ameona opportunity ya kuchochea moto akafanya yake bila kuhisiwa na yeyote.
Mapema wakati na yeye wamemrushia za moto mchana kweupe, juzi kati, wao wapo fasta, wanaonjeshwa ujasusi fasta,Mbona mapema sana
Naam, ndio maana yake,Makonda anawapapasa
Tuagize nn, pepsi mkubwa wao bariidiii ,ama,Ngoja tuone huu mchezo mwisho utakuwaje
Dah ! Nouma sana !
Leo nime msaluti asee!Nimeelewa kwanini Le Baharia alikuwa anamwita Le Captaine.
Jamaa ukilianzisha analimaliza.
Katuma topido bado kuachia nukesLeo nime msaluti asee!
Kwa akili yako ya Kingai huo moshi ni wa kiwanda! Wewe utakua polisi unayeishi depo.Una akili nzito
Wewe hujitambui watu wamejimilikisha viwanja mtoto wa dada ake pamoja na huyo magufuliTangu bi mkubwa aliposema tule kwa urefu wa kamba zetu ndo hadi haya yanatokea. Maana kila mmoja anapambana survival for fittest.
Enzi za jpm ujambazi ulikomeshwa licha ya wakosoaji wake kupotezwa au kubanwa kwa kesi za ajabu ajabu. Bashite anatamani yale makonteina yake ya enzi zile yangekuwa zama hizi angeupiga mwingi.
Tangu bi mkubwa aliposema tule kwa urefu wa kamba zetu ndo hadi haya yanatokea. Maana kila mmoja anapambana survival for fittest.
Enzi za jpm ujambazi ulikomeshwa licha ya wakosoaji wake kupotezwa au kubanwa kwa kesi za ajabu ajabu. Bashite anatamani yale makonteina yake ya enzi zile yangekuwa zama hizi angeupiga mwingi.
mkuu unachuki sanaMkali wa hizo kazi wakati hana marynder? Siksi kafumua, mshika rimoti na prince kafumua. Kipenzi chake aliyewahishwa faster kuzimu kulinusuru taifa kwa maslahi mapana ya taifa walikuwa wanajifungia ndani magogon naye pia katifua