Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo cha moto huo ni Paul MakondaKuna moshi mzito anga la Mwenge, Mawasiliano na Ubungo. Inasemekana Kiwanda cha Magodoro GSM kinateketea.
---
Kiwanda cha kutengeneza magodoro kinachomilikiwa na Kampuni ya GSM kilichopo Mikocheni jijini Dar es Salaam kimeungua moto
Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana kwa sasa.
View attachment 2148653
Ni nani maadui wa GSM ambao wanaweza kudiriki kufanya hili?Wewe
Wewe ni genious.
Inabidi watu wa bima wachunguze chanzo Cha ajali hii kwa kina na ikiwezekana Hawa watu wasilipwe.
Makonda ana maovu yake, lakini kwa hili, hapana.
Hawa tusipokua makini tunaweza jikuta Yale ya Akina Gupter family kule south Africa yanatukuta.
Picha ya kiwanda kinaungua wewe unaweka picha ya moshi unaotokana na mabomu ya Urusi huko Ukreni.
Tajiri ana biashara zake nyingi na Yanga ni mojawapo. Biashara za tajiri sio za YangaMashabiki wa yanga tutulie tajiri anapigana Vita na aidui asiyemuona
Hiyo ni kazi ya bashite [emoji817]Kuna moshi mzito anga la Mwenge, Mawasiliano na Ubungo. Inasemekana Kiwanda cha Magodoro GSM kinateketea.
---
Kiwanda cha kutengeneza magodoro kinachomilikiwa na Kampuni ya GSM kilichopo Mikocheni jijini Dar es Salaam kimeungua moto
Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana kwa sasa.
View attachment 2148653
Safi mchanga mweupe au mweusiNo yamefika na mchanga
Michezo ya kitaa hiyoBasi watu wanaroga sana
Usikute Osama bin laden ndo makonda
Khaaa kijana umenifurahishaWakuu kama kuna yeyote kafanikiwa kuchomoka na godoro la kuanzia inchi 10 la 5*6 anicheki.
Unapo dhani unaweza vita na wale jamaa mwisho utapotea... Historia inatukumbusha watawala huwekwa na wana idara na yote wanayafanya ni kwa masilahi ya Taifa... Mambo mengine kupotezea... Haya mm napita...Kuna moshi mzito anga la Mwenge, Mawasiliano na Ubungo. Inasemekana Kiwanda cha Magodoro GSM kinateketea.
---
Kiwanda cha kutengeneza magodoro kinachomilikiwa na Kampuni ya GSM kilichopo Mikocheni jijini Dar es Salaam kimeungua moto
Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana kwa sasa.
View attachment 2148653