Dar: Kiwanda cha Magodoro GSM, Chawaka Moto

Dar: Kiwanda cha Magodoro GSM, Chawaka Moto

Za vijiwen sio
Unamaanisha kijitonyama? Wakati mimi niko jikoni. Jamaaa mishipa ya tigo imelegea and he can't reverse those analmuscles anymore. Yani aqyinyer hana brake ni muharo wa hatariii kwasabab ya ma dna ya akina siksi waliosimika


Jitu la hovyo kweli
 
anatoa tahadhari kwa wanaotaka aende jela, bibi yake yupo vizuri atampigania.
 
Hapa atasingiziwa makonda,ila sio yeye hawezi fanya kitu cha kipuuzi kama hiko.
Usisahau alivamia Clouds na mitutu kulazimisha taarifa za Gwajiboi ziende hewani
 
Umejuaje? Thibitisha.
Utakuwa ni mchezo unaochezwa na wale waarabu wajanja kutengeneza tukio katikati ya mgogoro wao na Makonda.

Yote ni kuendelea kutafuta public sympathy kwa mashabiki wa timu yao, kwa hili sidanganyiki.

Wanachoma kudanganya watu huku wakijua bima wanayo watalipwa.

NW wa Ardhi Kikwete hafai kabisa kuwa msuluhishi kwenye huu mgogoro, kuna conflict of interest hapa.
 
Nina wasiwasi na wale GSM wajanja wajanja sana, wametengeneza tukio kuchezea akili za wasiojielewa katikati ya mgogoro wao na Makonda ili ionekane Makonda anahusika.
Huyo hata bima anaweza kuwa halipi kikamirifu! Itakula kwake!
 
Kama una bifu na mtu halafu uchomewe kitu chako suspect wa kwanza ni Nani?
Mchomaji ambaye wengi wanamhisi Hana akili, anadhani atamtia GSM hasara. Ukweli ni kwamba kiwanda kimewekewa bima . Watakaopata hasara ni waajiriwa.
Kuna watu wanafikiria kutumia matako Yao makubwa.
Nadhani katika hili wewe ndo unatumia matako kufikiri, kwasababu mpaka sasa hauwezi kuthibitisha ukweli wa hisia zako.
 
Inaweza ikawa mwenye kiwanda amechoma mwenyewe hicho kiwanda...
 
Wewe
Utakuwa ni mchezo unaochezwa na wale waarabu wajanja kutengeneza tukio katikati ya mgogoro wao na Makonda.

Yote ni kuendelea kutafuta public sympathy kwa mashabiki wa timu yao, kwa hili sidanganyiki.

Wanachoma kudanganya watu huku wakijua bima wanayo watalipwa.

NW wa Ardhi Kikwete hafai kabisa kuwa msuluhishi kwenye huu mgogoro, kuna conflict of interest hapa.
Wewe ni genious.

Inabidi watu wa bima wachunguze chanzo Cha ajali hii kwa kina na ikiwezekana Hawa watu wasilipwe.

Makonda ana maovu yake, lakini kwa hili, hapana.

Hawa tusipokua makini tunaweza jikuta Yale ya Akina Gupter family kule south Africa yanatukuta.
 
Kuna moshi mzito anga la Mwenge, Mawasiliano na Ubungo. Inasemekana Kiwanda cha Magodoro GSM kinateketea.

---
Kiwanda cha kutengeneza magodoro kinachomilikiwa na Kampuni ya GSM kilichopo Mikocheni jijini Dar es Salaam kimeungua moto

Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana kwa sasa.

View attachment 2148653

0EFBCF23-BF1D-4585-975C-7CF728A26ACA.jpeg
 
Back
Top Bottom