Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Umejuaje?Wanataka walambe hela za bima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje?Wanataka walambe hela za bima?
Unamaanisha kijitonyama? Wakati mimi niko jikoni. Jamaaa mishipa ya tigo imelegea and he can't reverse those analmuscles anymore. Yani aqyinyer hana brake ni muharo wa hatariii kwasabab ya ma dna ya akina siksi waliosimikaZa vijiwen sio
Usisahau alivamia Clouds na mitutu kulazimisha taarifa za Gwajiboi ziende hewaniHapa atasingiziwa makonda,ila sio yeye hawezi fanya kitu cha kipuuzi kama hiko.
Utakuwa ni mchezo unaochezwa na wale waarabu wajanja kutengeneza tukio katikati ya mgogoro wao na Makonda.
Yote ni kuendelea kutafuta public sympathy kwa mashabiki wa timu yao, kwa hili sidanganyiki.
Wanachoma kudanganya watu huku wakijua bima wanayo watalipwa.
NW wa Ardhi Kikwete hafai kabisa kuwa msuluhishi kwenye huu mgogoro, kuna conflict of interest hapa.
Inamaana picha huzioni?mamtu mengine bwana!!Picha mkuu, hata ya Moshi itasaidia kukuelewa
Huyo hata bima anaweza kuwa halipi kikamirifu! Itakula kwake!Nina wasiwasi na wale GSM wajanja wajanja sana, wametengeneza tukio kuchezea akili za wasiojielewa katikati ya mgogoro wao na Makonda ili ionekane Makonda anahusika.
Ahahahaaa!.Acheni kuwataja watu pasipo na uhakika. Inaweza kuchochea chuki katika jamii!
Nadhani katika hili wewe ndo unatumia matako kufikiri, kwasababu mpaka sasa hauwezi kuthibitisha ukweli wa hisia zako.Kama una bifu na mtu halafu uchomewe kitu chako suspect wa kwanza ni Nani?
Mchomaji ambaye wengi wanamhisi Hana akili, anadhani atamtia GSM hasara. Ukweli ni kwamba kiwanda kimewekewa bima . Watakaopata hasara ni waajiriwa.
Kuna watu wanafikiria kutumia matako Yao makubwa.
Unasikini utakuua wewe😄.Unamaanisha kijitonyama? Wakati mimi niko jikoni. Jamaaa mishipa ya tigo imelegea and he can't reverse those analmuscles anymore. Yani aqyinyer hana brake ni muharo wa hatariii kwasabab ya ma dna ya akina siksi waliosimika
Jitu la hovyo kweli
huko kwao labda aliyekuwa born town ni mayalla hao wengine ni bush stars tu.Makonda siyo mtoto wa mjini. Alikuja mjini kusoma sasa watoto wa mjini wamemuinamisha wanamshughulikia
Kweli kabisa sasa nchi ipo na watoto wa mjini akae kwa kutulia wanamshughulikia sasahuko kwao labda aliyekuwa born town ni mayalla hao wengine ni bush stars tu.
Wewe ni genious.Utakuwa ni mchezo unaochezwa na wale waarabu wajanja kutengeneza tukio katikati ya mgogoro wao na Makonda.
Yote ni kuendelea kutafuta public sympathy kwa mashabiki wa timu yao, kwa hili sidanganyiki.
Wanachoma kudanganya watu huku wakijua bima wanayo watalipwa.
NW wa Ardhi Kikwete hafai kabisa kuwa msuluhishi kwenye huu mgogoro, kuna conflict of interest hapa.
Kuna moshi mzito anga la Mwenge, Mawasiliano na Ubungo. Inasemekana Kiwanda cha Magodoro GSM kinateketea.
---
Kiwanda cha kutengeneza magodoro kinachomilikiwa na Kampuni ya GSM kilichopo Mikocheni jijini Dar es Salaam kimeungua moto
Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana kwa sasa.
View attachment 2148653
Bora zulia kuliko msukosuko wa GSM, ile ni balaa. Nchi zingine wangepiga marufuku na faini juuSasa hivi nalalia zulia na ninaipata fresh mzee