antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Hahahaha..
Anatathmini ufanisi wa 'kazi' !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha..
Mrusi hajatupia zile bomu zake kutoka B-52, kweli? Hatarr
Unachoma moto mwenyewe alafu unatengeneza mazingira fulani aonekane ndiyo kafanya hayo...Mwenyewe nawaza kitu kama hiki kwa sauti.
Kiwanda cha magodoro cha GSM chawaka moto pale Mwenge/Mikocheni Viwandani Walaya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Moto umeanza asubuhi hii muda wa saa 12:30 ya leo Jumapili Machi 13, 2022.
Chanzo cha Moto bado hakijafahamika.
View attachment 2148567
Malipo ni hapa hapa, mpeni kiwanja chakePole yao sana... Sarakasi zimeanza...
No yamefika na mchangaMagari ya Zima moto yamefikana maji?
Gsm ni kawaida yao kutengeneza skendo ili wajipatie pesa siyo ajabuKiwanda kina Bima,watalipwa na Bima.
MaaaaaaaaamaeeeeeeeKondaboy ,yoyo, ago no lai
Fumbo la Imani mkuu.Unachoma moto mwenyewe alafu unatengeneza mazingira fulani aonekane ndiyo kafanya hayo...
Au...
Fulani kweli katuma wasiojulikana kufanya hayo, kuoneshana misuli...
Mkali wa hizo kazi wakati hana marynder? Siksi kafumua, mshika rimoti na prince kafumua. Kipenzi chake aliyewahishwa faster kuzimu kulinusuru taifa kwa maslahi mapana ya taifa walikuwa wanajifungia ndani magogon naye pia katifuaMkali wa hizo kazi
Za vijiwen sioMkali wa hizo kazi wakati hana marynder? Siksi kafumua, mshika rimoti na prince kafumua. Kipenzi chake aliyewahishwa faster kuzimu kulinusuru taifa kwa maslahi mapana ya taifa walikuwa wanajifungia ndani magogon naye pia katifua