Dar: Kiwanda cha Magodoro GSM, Chawaka Moto

Dar: Kiwanda cha Magodoro GSM, Chawaka Moto

Kama una bifu na mtu halafu uchomewe kitu chako suspect wa kwanza ni Nani?
Mchomaji ambaye wengi wanamhisi Hana akili, anadhani atamtia GSM hasara. Ukweli ni kwamba kiwanda kimewekewa bima . Watakaopata hasara ni waajiriwa.
Kuna watu wanafikiria kutumia matako Yao makubwa.
 
Kiwanda cha magodoro cha GSM chawaka moto pale Mwenge/Mikocheni Viwandani Walaya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Moto umeanza asubuhi hii muda wa saa 12:30 ya leo Jumapili Machi 13, 2022.

Chanzo cha Moto bado hakijafahamika.
View attachment 2148567
 
Mkali wa hizo kazi
Mkali wa hizo kazi wakati hana marynder? Siksi kafumua, mshika rimoti na prince kafumua. Kipenzi chake aliyewahishwa faster kuzimu kulinusuru taifa kwa maslahi mapana ya taifa walikuwa wanajifungia ndani magogon naye pia katifua
 
Mkali wa hizo kazi wakati hana marynder? Siksi kafumua, mshika rimoti na prince kafumua. Kipenzi chake aliyewahishwa faster kuzimu kulinusuru taifa kwa maslahi mapana ya taifa walikuwa wanajifungia ndani magogon naye pia katifua
Za vijiwen sio
 
Back
Top Bottom