Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa wapi Mkuu, embu fafanuaUnapo dhani unaweza vita na wale jamaa mwisho utapotea... Historia inatukumbusha watawala huwekwa na wana idara na yote wanayafanya ni kwa masilahi ya Taifa... Mambo mengine kupotezea... Haya mm napita...
Mtu wako alivamia kituo cha redio na mitutu ya bunduki kwa mambo ya kitotoWewe
Wewe ni genious.
Inabidi watu wa bima wachunguze chanzo Cha ajali hii kwa kina na ikiwezekana Hawa watu wasilipwe.
Makonda ana maovu yake, lakini kwa hili, hapana.
Hawa tusipokua makini tunaweza jikuta Yale ya Akina Gupter family kule south Africa yanatukuta.
Kumbe ndio zilikuwa tabia zenu nyie majahili dhalimu!Na wewe alikuvamia pia akakutandika tako mbona husemi
Nakumbuka Kuna uzi uliletwa humu kwa Nini mwamba alipendwa sana na jiwe, baada ya kuwa msaada mkubwa sana katika mambo ya mtaani kwa mheshimiwaMichezo ya kitaa hiyo
Mkaldayo unashangaa nini?Duuh
Nashangaa jinsi GSM amekuwa on trend lately Myebusi.Mkaldayo unashangaa nini?
Arson.Mtuhumiwa Bashite
Mmmh mtajaji maarufu nae akitajwa kuna ubaya gani?Acheni kuwataja watu pasipo na uhakika. Inaweza kuchochea chuki katika jamii!
Unaambiwa chawa zungu amelia mpaka kugala gala alipopata taarifa ya boss kuunguliwa na kiwandaWashabiki wa depotivo wanavojifanya kuumia utadhani kimeungua kighorofa chao pale jangwani
Vita ni vitaMbona mapema sana
Kizamani kivipi? Maana Moto ushamaliza masoko yote hapo dar kwa miezi 6 tuMambo za kizamani sana hizi.
Wahindi, waarabu n the like wametajirika sana kupitia hii michsezo ya kuchoma moto viwanda vyao ambavyo vina bima kubwaNakumbuka Kuna uzi uliletwa humu kwa Nini mwamba alipendwa sana na jiwe, baada ya kuwa msaada mkubwa sana katika mambo ya mtaani kwa mheshimiwa
Ndiyo uzamani huo.Kizamani kivipi? Maana Moto ushamaliza masoko yote hapo dar kwa miezi 6 tu