[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakubuka wakati Stand inahamishwa kutoka Mnazi Mmoja na Kisutu kwenda Ubungo watu walilalamika na kulia sana, ilikua bado kidogo waandamane.
Wakapiga sana simu redio Tumaini kulalamikia hatia hiyo wakidai Ubungo ni Mbali sana[emoji2][emoji2][emoji28].
Sasa hivi Jiji limefunguka sana kikubwa ni kuwepo kwa utaratibu mzuri wa usafiri kutoka pande hizo hadi Mbezi.
Huko tuendako Stand itahamishiea Moro na Dodoma na bado watu watawahi na kusafiri kama kawaida.
Na rute yako n ya nairob, Kampala, RwandaAlafu reporting time saa 5.30 asubuh
Poa Marangu coach zipo mbagalaDarLux, NewForce zipo Shekilango
Kuna magari yana yard nje ya ubungo kama Marangu coach zipo shekilango na mbagala pia kilimanjaro wanayo kigamboni...hawa watafanya sana biashara maana kulikoni utoke mbagala kwenda mbezi ukapande basi bora upandie mbagala hukohukoMa bus yanyewe ya kuondoka asubuhi mapema itabidi muwe na transit Kimara 24 Hrs halafu unaendelea na safari au wenye ba bus lazima wabadilishe ratiba zao za kuondoka vinginevyo watu wengi gharama za kuanza safari zitakuwa kubwa kuliko gharama za safari yenyewe. usogee mjini siku moja kabla, gharama ta usafiri na chakula hapo kwa maana nyingine kama unasafiri kwa alfu 20 ongeza iwe 40 hapo naongelea kama unasafiri peke yako lakini wale wanaosafiri family nzima kazi ipo au ndio kuondoka nyumbani saa 9 alfajiri. Lakini hakuna option zingine ni lazima kuwe na stand sehemu.
Umeandika kwa haraka sanaLeo asubuh nilipita hapo pambana kupendwa, na vioo kwenye majengo washaanza kubandika
Mimi siqezi kwenda Mbezi nitapandiaShekilangoPoa Marangu coach zipo mbagala
Asante nilikuwa sijaona ngoja nirekebisheUmeandika kwa haraka sana
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam anawatangazia wananchi wote kuwa kutakuwa na mabadiliko ya kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani.
Kuanzia Novemba 30, 2020 mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani yataanza kutumia kituo cha Mbezi Luis na sio Ubungo kama ilivyo sasa.
Aidha wadau wote wanakaribisha kutuma maombi ili kupata maeneo mbalimbali ya biashara katika kituo hicho.
View attachment 1621185
Mwisho mtasema kituo cha mikoani kipo Msamvu MorogoroMkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam anawatangazia wananchi wote kuwa kutakuwa na mabadiliko ya kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani.
Kuanzia Novemba 30, 2020 mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani yataanza kutumia kituo cha Mbezi Luis na sio Ubungo kama ilivyo sasa.
Aidha wadau wote wanakaribisha kutuma maombi ili kupata maeneo mbalimbali ya biashara katika kituo hicho.
View attachment 1621185
Safi, ila mbali.
Safi sanaaa....HAYA NDIYO TUYATAKAYO WATANZANIA....Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam anawatangazia wananchi wote kuwa kutakuwa na mabadiliko ya kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani.
Kuanzia Novemba 30, 2020 mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani yataanza kutumia kituo cha Mbezi Luis na sio Ubungo kama ilivyo sasa.
Aidha wadau wote wanakaribisha kutuma maombi ili kupata maeneo mbalimbali ya biashara katika kituo hicho.
View attachment 1621185
Na, wala hakuna hata Choo Yan
Kwa kweli ubungo imekua hovyo sana
Na unalipia yani
πππππMkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam anawatangazia wananchi wote kuwa kutakuwa na mabadiliko ya kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani.
Kuanzia Novemba 30, 2020 mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani yataanza kutumia kituo cha Mbezi Luis na sio Ubungo kama ilivyo sasa.
Aidha wadau wote wanakaribisha kutuma maombi ili kupata maeneo mbalimbali ya biashara katika kituo hicho.
View attachment 1621185
Hata waliochanika,Kigamboni mbelembele huko au Mbagala kongowe huko....ubungo ni mbali,hata wangejenga karibu na unapoishi wengine wangelalamikaSio mbaya ila ni mbaya kwakuongezeka kwa gharama zakufika mbezi plus muda wakuamka ili uwahi vinginevyo ulale stendi tu maana kwa njia zetu hizi utaishia kuchelewa gari kila siku.
Hapo umeongea vizuri zaidi na hiyo ndio changamoto haswa.
Umenena vyema sana mkuu...Nakumbuka 2017 nilikuwa nadamka asubuhi kutoka kigamboni ili niwahi bus za kwanza kwenda moro lakini nilikuwa nashindwa sababu mwendokasi zilikuwa zinaanza muda ambao ndio bus ubungo zinaanza kutoka, hvyo inakuja kukusababishia cost zingin
Kama wataachiwa au wanaweza kuhamishwa wote kwenda Mbezi maana kutakuja malalamiko toka kwa wengine kuhusu ushindani wa biashara vingevyo wakiwaachia tutaona makampuni mengi yakirudi mjini tena. Hali hii ina gharama kwa watu lakini tukumbuke hata Ubungo walivyoanza watu walikuwa wanaona mbali ikaja kuonekana kawaida tu na Mbezi itakuja kuonekana kawaida tu tofauti ni kuwa gharama za kusafiri zitaongezeka.Kuna magari yana yard nje ya ubungo kama Marangu coach zipo shekilango na mbagala pia kilimanjaro wanayo kigamboni...hawa watafanya sana biashara maana kulikoni utoke mbagala kwenda mbezi ukapande basi bora upandie mbagala hukohuko
G mboto inabd watumie njia ya majumba Sita wapitie kinyerezKuna sehemu hapa Dar kufika ubungo tu ilikuwa changamoto,je hapo mbezi unadhani itakuwaje.
Mf.mbagala,g/mboto n.k