Hizo Zina siku yake nitaandaa Uzi wakeKwa niaba ya matajiri wa jf, hizo biashara hatutaki jamani....tuletee biashara za mitaji ya milioni 5.... 😀
Tutale tumekunja milioni, hizo hapana
Kazi umeipa upinzani tayariLakini siku hizi kila mtu anajua kusajili line ni bure, line za siku hizi sio kama za zamani zinakuja zimeshakatwa, siku hizi watu wengi hawanunui vocha bali wananunua vifurushi kupitia mobile money.
We unaweza kuwa na shuhuda nzuri zaidiMkuu kuna vitu ni vigumu kuwaaminisha watu, ushaplay part yako....
Mi nlikuaga nawaangalia watu wanaofanya biashara ya sh 100 naona huyu hata afu kumi anafikisha kweli?? Mwaka huu nmeifanya mauzo ilikua afu 50 hadi laki kwa siku. Mauzo nkitoa hesabu zangu faida ya maana sana tu.
Nkuambie tu faida nliokua napata hata salary yangu haifiki 😀
Sasa hiyo inakua sio biashara tena bali ni wizi. By the way kwenye biashara yoyote hakuna urahisi changamoto ni nyingi.Kazi umeipa upinzani tayari
Hayo yote yapo, utapata wajuaji uchukue kidogo lakini utakuta na mangumbalu uwapwige hata hizo. Buku
Ushuhuda nnao mzuri tu ila kazi ya kuwaaminisha watu ndo siiwezi labda mtu anipe hela kwanza.....We unaweza kuwa na shuhuda nzuri zaidi
Hizo changamoto kwenye biashara zipoMleta mada umewahi kujihusisha na biashara ndogo ndogo? unamwaminisha mtu timamu kuwa mateja wanaweza kumkusanyia 200kg za chuma kila siku? yaani zaidi ya tani kwa wiki? watapata wapi kama siyo kwa wizi nawe hutokwepa kesi za ununuzi wa mali za wizi. Kwa kifupi si kila kitu kipo kama unavyokiona.
Uchakavu lazmaToa bure umepewa Bure 😆
Changamoto ziipoVingi ulivyosema vina uhalisia, bado inabaki kuwa nadharia,,,, mambo sio mepesi kihivyo
Laini moja? Hata ukipigia hesabu kwa ice cream moja Bakhresa anaingiza shingapi huwezi kufanya biasharaHivi kwa mfano ukisajili line moja malipo yake yakoje?
Mfanya biashara mwenye utimamu lazima ajue faida ya bidhaa/huduma moja ndipo ajiwekee malengo ya bidhaa/huduma anazotakiwa kuuza kwa muda atakao jiwekea ili apate faida anoyoitarajia.Laini moja? Hata ukipigia hesabu kwa ice cream moja Bakhresa anaingiza shingapi huwezi kufanya biashara
Unatakiwa uwe na malengo ya lain 100 hadi 200 kwa mwezi kwa mtandao mmoja let's say Voda
Hizo zote ulizotaja ndio faida za kusajili laini sio hasaraLakini siku hizi kila mtu anajua kusajili line ni bure, line za siku hizi sio kama za zamani zinakuja zimeshakatwa, siku hizi watu wengi hawanunui vocha bali wananunua vifurushi kupitia mobile money.
Sio zote huwezi piga hesabu kuwa katika gunia la mahindi punje moja itakuwa shingapiMfanya biashara mwenye utimamu lazima ajue faida ya bidhaa/huduma moja ndipo ajiwekee malengo ya bidhaa/huduma anazotakiwa kuuza kwa muda atakao jiwekea ili apate faida anoyoitarajia.
Ntakupigia, tuongeee 😀Mkuu kuna vitu ni vigumu kuwaaminisha watu, ushaplay part yako....
Mi nlikuaga nawaangalia watu wanaofanya biashara ya sh 100 naona huyu hata afu kumi anafikisha kweli?? Mwaka huu nmeifanya mauzo ilikua afu 50 hadi laki kwa siku. Mauzo nkitoa hesabu zangu faida ya maana sana tu.
Nkuambie tu faida nliokua napata hata salary yangu haifiki 😀
Kweli kuku wana faida sanaKama una mtaji & eneo, unaweza kufuga kuku wa kisasa(Broiller), wana faida ya 700 - 1000 kwa kuku 1 kwa mwezi.
Ukifuga kuku 1000 hukozi laki 7 kwa mwezi.