kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Mitaani huku dar wanakopa na kubandikaUgumu upo mkuu sikatai ila utapata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitaani huku dar wanakopa na kubandikaUgumu upo mkuu sikatai ila utapata
We unafanya ipi kati ya hizo???Me Huwa napenda kutafiti njia za utafutaji hata ziwe ndogo vipi, ili kujua watu wanapataje pesa na hizo biashara ambazo watu wanaziona ni duni
Nikasema haaa kumbe aisee watu wanapiga pesa ambazo hata watu wenye ajira za kuchomekea mashati na kuvaa viatu mchuchumio hawapati
Nitaorodhesha baadhi ya biashara hapa za kupiga pesa chap na bila kelele.
1. Biashara ya kununua chuma chakavu.
Kuna jamaa angu yupo hapo bunju anapiga pesa ndefu, alinielezea Kwa uwazi nikashangaa utajiri wa hii biashara ambao wengi hawajaistukia
Yeye ana kijiwe na mzani wake, vijana hasa wale mateja wanaokota vyuma ananunua sh 700 ana uweZo wa kukusanya kilo 200 Kwa siku,
Yeye anawauzia madalali wa wahindi sh 1000
Kwaiyo kila kilo anapata sh 300.
Hapo ni 300*200=60000
Ana uhakika wa kuingiza sh 60, 000 Kwa siku bila kelele
2. Biashara ya kifurushi.
Hivi ni viongeza nyege, yaani ni package ya karanga mbichi, mihogo mibichi, nazi, karoti n.k hufungwa kifurushi kidogo
Kuna mdada anauza pale Mbagala na Mimi bi mteja wake akinikuta Dar Niko bar Huwa nanunua alinisimulia anavopiga pesa nikashangaa
Yeye anafunga kuanzia vifurushi 100 hadi 200
Anatembeza mitaani hasa nyakati za jioni hadi usiku na mzigo wake anaukata
Huyu Binti amejenga mjengo wake maeneo ya Vikindu
3. Biashara ya supu ya pweza
Hii biashara ina pesa ndefu sana na mtaji wake ni Sh 70000 tu ila jamaa wanakunja pesa ndefu
Anzisha biashara hii ajiri vijana utapiga pesa nzuri
4. Kuku wa kienyeji
Hapa watu wa Dar hasa kutoka maeneo yenye pesa kama upanga, mikocheni,mbezi nk
Fuata kuku Morogoro njoo upige pesa Dar
5. Maji ya kandolo
Mjinwa Dar umejaa masikini wengi
Sio kila mtu kwenye mihangaiko ataweza kununua maji ya buku
Wengi hukimbilia maji ya 100
Hapa mtaji ni maji yasiokuwa na chumvi, deli na barafu nenda kariakoo, Makumbusho, Temeke, Mbagala piga pesa
6. Kuuza barafu shuleni au mihogo
Watoto wa mjini laZima kila siku wapewe pesa ya kula shule sio kama kwetu Ngara mtoto humpi hela ya shule
Kwa mihogo ya kuchemsha au barafu utapiga pesa hadi ukimbie
7. Umachinga
Umachinga inalipa
Usidharau machinga
Dar Kuna Chimbo vitu bei kubwa na watu wa Dar Kwa uvivu wao hayo machimbo hawajui
Mfano Kuna chupi nzuri za akina dada kariakoo hapo zinauzwa 700 pic 1 mtaani unaweza uza buku 5
Yaani hapa Kwa siku ukiza pisi 7 tu unafaida ya sh 30,000
8 Fanya delivery ya chakula.
Watu wengi wa Dar hawapendi kuhangaika
Wewe unaweza pika msosi ukawatafuta vijana mabachelor na watu wa madukani ukawa unawapelekea chakula na laZima uuze sio story utapiga pesa
9 kuuza screen protector na cover za simu
Huku ndo Kuna pesa
Aslimia 80ya wakazi wa Dar wana Smart phone
Na simu zinahitaji hivyo vitu
Hapa kariakoo hayo phone protector na covers ni Sh 600
Ukitembeza mtaani kumwekea mtu ni buku 5
Ukiwawekea watu 6 Kwa siku
Pesa yako Kwa mwezi hata mhasibu pale nmb hakufikii Kwa maokoto
10. udalali
Japo hapo unaweza kuliwa na njaa ni kazi ambayo wateja sio wa kila siku
Tafuta vyumba, nyumba, viwanja, frem nk
Wateja ni wengi utapiga pesa upo umetulia
Dar fursa zipo za kutoshaMleta mada kasema kweli, na jinsi pesa inavyokuwa ngumu. Na watu wanabuni biashara mpya kila siku.
Pia hakuna kitu kinatupwa, Dar kila kitu ni pesa.
Nilienda Alaf kiwandani. Ukitoka upande wa soko, nikakuta vijana wanakusanya, vipande vipande vya mabati, nikamuuliza fundi wangu vya kazi gani?
Akasema hapo wanapima, vinauzwa kwa wanaotengeneza majiko ya mkaa, koroboi n.k
Nikajisemea shughuli ziko nyingi kumbe!!!
Kila kitu kinawezekana ni bidii yako tuMotiveshono spika, nyingi apo ni kamba.
Hizo biashara za maji ya kandoro, vitafunwa na vikorombwezo vya wanafunzi kama ndo unaitegemea isogeze siku utasanda, vina faida ndogo hivi vitu labda uvifanye kwa ukubwa, sio ile uko na deli la kandoro unauza mia mia utegee kujenga, kulipa kodi na kula hapohapo.
Hii biashara kuna ant yangu analia nayo siku hizi, kuna matajiri wamewekeza huko na wanauza kuku wakubwa kwa bei rahisi.Kama una mtaji & eneo, unaweza kufuga kuku wa kisasa(Broiller), wana faida ya 700 - 1000 kwa kuku 1 kwa mwezi.
Ukifuga kuku 1000 hukozi laki 7 kwa mwezi.
Bidii bidii kweli si mchezo, hizo biashara ulizotaja zinahitaji kujitoa kwelikweli.Kila kitu kinawezekana ni bidii yako tu
Sio kusajili bure na vocha ya sh 1000 unawekewa bureee kabisa.Lakini siku hizi kila mtu anajua kusajili line ni bure, line za siku hizi sio kama za zamani zinakuja zimeshakatwa, siku hizi watu wengi hawanunui vocha bali wananunua vifurushi kupitia mobile money.
Hakuna kitu rahisi mkuu. Labda uwe mwalimu wa shule ya msingi ya serikali.Ni Sawa lakin sio rahisi Kama unavyofikiria.
Hapo kwenye vifurushi vya kuongeza nyege/miguvu ya kiume wanafanya sana wanawake, sasa dume zima kuanza kuuza vifurushi haijakaa sawa, labda upige style ya Uganga. Kidume unauza vumbi la Kongo.Me Huwa napenda kutafiti njia za utafutaji hata ziwe ndogo vipi, ili kujua watu wanapataje pesa na hizo biashara ambazo watu wanaziona ni duni
Nikasema haaa kumbe aisee watu wanapiga pesa ambazo hata watu wenye ajira za kuchomekea mashati na kuvaa viatu mchuchumio hawapati
Nitaorodhesha baadhi ya biashara hapa za kupiga pesa chap na bila kelele.
1. Biashara ya kununua chuma chakavu.
Kuna jamaa angu yupo hapo bunju anapiga pesa ndefu, alinielezea Kwa uwazi nikashangaa utajiri wa hii biashara ambao wengi hawajaistukia
Yeye ana kijiwe na mzani wake, vijana hasa wale mateja wanaokota vyuma ananunua sh 700 ana uweZo wa kukusanya kilo 200 Kwa siku,
Yeye anawauzia madalali wa wahindi sh 1000
Kwaiyo kila kilo anapata sh 300.
Hapo ni 300*200=60000
Ana uhakika wa kuingiza sh 60, 000 Kwa siku bila kelele
2. Biashara ya kifurushi.
Hivi ni viongeza nyege, yaani ni package ya karanga mbichi, mihogo mibichi, nazi, karoti n.k hufungwa kifurushi kidogo
Kuna mdada anauza pale Mbagala na Mimi bi mteja wake akinikuta Dar Niko bar Huwa nanunua alinisimulia anavopiga pesa nikashangaa
Yeye anafunga kuanzia vifurushi 100 hadi 200
Anatembeza mitaani hasa nyakati za jioni hadi usiku na mzigo wake anaukata
Huyu Binti amejenga mjengo wake maeneo ya Vikindu
3. Biashara ya supu ya pweza
Hii biashara ina pesa ndefu sana na mtaji wake ni Sh 70000 tu ila jamaa wanakunja pesa ndefu
Anzisha biashara hii ajiri vijana utapiga pesa nzuri
4. Kuku wa kienyeji
Hapa watu wa Dar hasa kutoka maeneo yenye pesa kama upanga, mikocheni,mbezi nk
Fuata kuku Morogoro njoo upige pesa Dar
5. Maji ya kandolo
Mjinwa Dar umejaa masikini wengi
Sio kila mtu kwenye mihangaiko ataweza kununua maji ya buku
Wengi hukimbilia maji ya 100
Hapa mtaji ni maji yasiokuwa na chumvi, deli na barafu nenda kariakoo, Makumbusho, Temeke, Mbagala piga pesa
6. Kuuza barafu shuleni au mihogo
Watoto wa mjini laZima kila siku wapewe pesa ya kula shule sio kama kwetu Ngara mtoto humpi hela ya shule
Kwa mihogo ya kuchemsha au barafu utapiga pesa hadi ukimbie
7. Umachinga
Umachinga inalipa
Usidharau machinga
Dar Kuna Chimbo vitu bei kubwa na watu wa Dar Kwa uvivu wao hayo machimbo hawajui
Mfano Kuna chupi nzuri za akina dada kariakoo hapo zinauzwa 700 pic 1 mtaani unaweza uza buku 5
Yaani hapa Kwa siku ukiza pisi 7 tu unafaida ya sh 30,000
8 Fanya delivery ya chakula.
Watu wengi wa Dar hawapendi kuhangaika
Wewe unaweza pika msosi ukawatafuta vijana mabachelor na watu wa madukani ukawa unawapelekea chakula na laZima uuze sio story utapiga pesa
9 kuuza screen protector na cover za simu
Huku ndo Kuna pesa
Aslimia 80ya wakazi wa Dar wana Smart phone
Na simu zinahitaji hivyo vitu
Hapa kariakoo hayo phone protector na covers ni Sh 600
Ukitembeza mtaani kumwekea mtu ni buku 5
Ukiwawekea watu 6 Kwa siku
Pesa yako Kwa mwezi hata mhasibu pale nmb hakufikii Kwa maokoto
10. udalali
Japo hapo unaweza kuliwa na njaa ni kazi ambayo wateja sio wa kila siku
Tafuta vyumba, nyumba, viwanja, frem nk
Wateja ni wengi utapiga pesa upo umetulia
Hahahah kweli hilo la vifurushi tuwaachie wadadaHappo
Hapo kwenye vifurushi vya kuongeza nyege/miguvu ya kiume wanafanya sana wanawake, sasa dume zima kuanza kuuza vifurushi haijakaa sawa, labda upige style ya Uganga. Kidume unauza vumbi la Kongo.
Gharama za maisha kwa mji kama dar pia ni kubwa usisahau hilo.. huku kutumia elfu 10 kwa siku kwenye usafiri ni kawaida tu bado kula bado kuvaa bado mawasiliano bado makazi na n.kMe Huwa napenda kutafiti njia za utafutaji hata ziwe ndogo vipi, ili kujua watu wanapataje pesa na hizo biashara ambazo watu wanaziona ni duni
Nikasema haaa kumbe aisee watu wanapiga pesa ambazo hata watu wenye ajira za kuchomekea mashati na kuvaa viatu mchuchumio hawapati
Nitaorodhesha baadhi ya biashara hapa za kupiga pesa chap na bila kelele.
1. Biashara ya kununua chuma chakavu.
Kuna jamaa angu yupo hapo bunju anapiga pesa ndefu, alinielezea Kwa uwazi nikashangaa utajiri wa hii biashara ambao wengi hawajaistukia
Yeye ana kijiwe na mzani wake, vijana hasa wale mateja wanaokota vyuma ananunua sh 700 ana uweZo wa kukusanya kilo 200 Kwa siku,
Yeye anawauzia madalali wa wahindi sh 1000
Kwaiyo kila kilo anapata sh 300.
Hapo ni 300*200=60000
Ana uhakika wa kuingiza sh 60, 000 Kwa siku bila kelele
2. Biashara ya kifurushi.
Hivi ni viongeza nyege, yaani ni package ya karanga mbichi, mihogo mibichi, nazi, karoti n.k hufungwa kifurushi kidogo
Kuna mdada anauza pale Mbagala na Mimi bi mteja wake akinikuta Dar Niko bar Huwa nanunua alinisimulia anavopiga pesa nikashangaa
Yeye anafunga kuanzia vifurushi 100 hadi 200
Anatembeza mitaani hasa nyakati za jioni hadi usiku na mzigo wake anaukata
Huyu Binti amejenga mjengo wake maeneo ya Vikindu
3. Biashara ya supu ya pweza
Hii biashara ina pesa ndefu sana na mtaji wake ni Sh 70000 tu ila jamaa wanakunja pesa ndefu
Anzisha biashara hii ajiri vijana utapiga pesa nzuri
4. Kuku wa kienyeji
Hapa watu wa Dar hasa kutoka maeneo yenye pesa kama upanga, mikocheni,mbezi nk
Fuata kuku Morogoro njoo upige pesa Dar
5. Maji ya kandolo
Mjinwa Dar umejaa masikini wengi
Sio kila mtu kwenye mihangaiko ataweza kununua maji ya buku
Wengi hukimbilia maji ya 100
Hapa mtaji ni maji yasiokuwa na chumvi, deli na barafu nenda kariakoo, Makumbusho, Temeke, Mbagala piga pesa
6. Kuuza barafu shuleni au mihogo
Watoto wa mjini laZima kila siku wapewe pesa ya kula shule sio kama kwetu Ngara mtoto humpi hela ya shule
Kwa mihogo ya kuchemsha au barafu utapiga pesa hadi ukimbie
7. Umachinga
Umachinga inalipa
Usidharau machinga
Dar Kuna Chimbo vitu bei kubwa na watu wa Dar Kwa uvivu wao hayo machimbo hawajui
Mfano Kuna chupi nzuri za akina dada kariakoo hapo zinauzwa 700 pic 1 mtaani unaweza uza buku 5
Yaani hapa Kwa siku ukiza pisi 7 tu unafaida ya sh 30,000
8 Fanya delivery ya chakula.
Watu wengi wa Dar hawapendi kuhangaika
Wewe unaweza pika msosi ukawatafuta vijana mabachelor na watu wa madukani ukawa unawapelekea chakula na laZima uuze sio story utapiga pesa
9 kuuza screen protector na cover za simu
Huku ndo Kuna pesa
Aslimia 80ya wakazi wa Dar wana Smart phone
Na simu zinahitaji hivyo vitu
Hapa kariakoo hayo phone protector na covers ni Sh 600
Ukitembeza mtaani kumwekea mtu ni buku 5
Ukiwawekea watu 6 Kwa siku
Pesa yako Kwa mwezi hata mhasibu pale nmb hakufikii Kwa maokoto
10. udalali
Japo hapo unaweza kuliwa na njaa ni kazi ambayo wateja sio wa kila siku
Tafuta vyumba, nyumba, viwanja, frem nk
Wateja ni wengi utapiga pesa upo umetulia