BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Usibishane na watu wanaomiliki Landcruiser. Ngoja upigwe komwe.We nae,, kama hujui maisha ya Mtanzania yalivyo.
Ina maana we unakaa sehemu moja siku zote kama pua??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usibishane na watu wanaomiliki Landcruiser. Ngoja upigwe komwe.We nae,, kama hujui maisha ya Mtanzania yalivyo.
Ina maana we unakaa sehemu moja siku zote kama pua??
We ni me au ke?Usibishane na watu wanaomiliki Landcruiser. Ngoja upigwe komwe.
Utawasha feni kwenye daladala?Mkuu si ununue fan tu
Wenye Landcruiser hawakai sehemu moja kama komwe, Jan to Dec liko hapo hapo 🤭Usibishane na watu wanaomiliki Landcruiser. Ngoja upigwe komwe.
😂😂😂😂😁😁😁🙌Wenye Landcruiser hawakai sehemu moja kama komwe, Jan to Dec liko hapo hapo 🤭
Au kukaa ndani kama utumbo.We nae,, kama hujui maisha ya Mtanzania yalivyo.
Ina maana we unakaa sehemu moja siku zote kama pua??
Mkoa upo salama sana huu Kama unaona kuna JOTO na FOLENI nenda kaishi sehemu nyingine kwani kuna vijiji havijajaaa.Umofya kwenu!
Husika na kichwa cha mada hapo juu.
Wenzangu mnaishije ? Hii hali mimi hapana .
Nipo kwa MSOLA
Sio Atomic tenaNipo kwa MSOLA
Unataka nikae sehemu moja kama komwe 😉Sio Atomic tena
Tafuta pesa, Dar haina kotoUmofya kwenu!
Husika na kichwa cha mada hapo juu.
Wenzangu mnaishije ? Hii hali mimi hapana .
Hahaaaa wewe sio kisogoUnataka nikae sehemu moja kama komwe 😉
Hii sio mbaya, itampa ubaridi atalala na kuzagamua poa kabisa.Mkuu si ununue fan tu