Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkazi kabisa hawezi fungua uzi, mtoa mada atakuwa ni wale wa kupita.Watu wa dar mnadeka sana sasa mtu kuhisi joto ndo anakuja kufungua uzi kweli?
NAKAZIAWe nae,, kama hujui maisha ya Mtanzania yalivyo.
Ina maana we unakaa sehemu moja siku zote kama pua??
Ishinabulandi ni balaa zaidiUnalijua joto la ngokoro na nguzo nane ShyCity?
jf inahusikaje na joto la Dar we Cheusi MangalaSasa si uhame kuna mtu amekulazimisha kukaa huko. Jf imekua ya hovyo sana.