Dar kuna joto wenzangu mnaishije?

Umofya kwenu!
Husika na kichwa cha mada hapo juu.
Wenzangu mnaishije ? Hii hali mimi hapana .
Mkoa upo salama sana huu Kama unaona kuna JOTO na FOLENI nenda kaishi sehemu nyingine kwani kuna vijiji havijajaaa.
😂😂😂
RC Chalamila
 
Likizo ya ckukuu ikiisha naimani utarudii ulikotoka mkuu uwaachie watu Jiji lao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…