DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

moto upi unawaka dada?
Makonda kafiwa ukweni Ngara,kama muumini ana haki kusali popote
Elimu ya bure haiwezi kupatikana ukiwa na mtu kama mpango
Mpango lazima awang'oe dadeeek sijui utakula wapi maana akifukzwa Bashite nawe unakosa kibarua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Beloved son! otherwise dad is coming
 
Mpango lazima awang'oe dadeeek sijui utakula wapi maana akifukzwa Bashite nawe unakosa kibarua

Sent using Jamii Forums mobile app
Tehe tehe labda kama hatuhitaji elimu bure
Kila siku Rais anasema kuna viongozi hawamuelewi,wanabishana wao kwa wao kwa ajili ya kazi ya serikali.
Sheria imempa nguvu waziri wa fedha kusamehe kodi kwa kutoa Government notice na kuichapisha katika gazeti la serikali
Mpango anaudanganya moyo wake kwamba hizo container 20 ni za Makonda zikitoka zitaenda kuuzwa congo,huku akili yake inajua kabisa makonda aliomba msaada kwa niaba ya serikali
Watu warasimu kama akina Mpango hawatufai kwa sasa
 
Unaongea ugoro wewe yaani mpango na wewe nani anajua mipango ya serikali?njaa imekupanda kichwani sasa umebakia kuwayawaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa jambo hili ipo wazi Makonda kakosea.
Anaweka vitisho kujaribu kuzuia kutekelezwa kwa sheria halali sio tamko binafsi la kiongozi flani.

Alichofanya Dk. Philip Mpango ni kwenda kuondoa wasiwasi kwa umma ili sheria ikitekelezwa basi mali ziuzike bila shida.

Hapo waziri kaenda kufanya kazi ya mawasiliano kwa umma. Angeweza kumuagiza afisa alie chini yake lakini huyo anaweza kuwa chini kiitifaki kumpinga mkubwa wake kiitifaki.
 
Wakitaka makontena yanunuliwe basi wamuhamishe wampeleke Songea, Rukwa au Mtwara.

Mark my words, the move is coming soon!
 
kwani kutokana na sheria za kodi raisi si anauwezo wa kutoa msamaha wa kodi kwenye bidhaa yoyote anayoona inafas kupewa kodi kwanini yuko kimya asimsaidie raisi wa dareesalaam akaamuru tax exemption kama kweli mzigo ni wa msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakua KIPARA NGOTO/NGOSO mkuu.
Kwa hakika suala hili linaonyesha jinsi Daudi Bashite aka Paul Makonda alivyo kilaza. Mtu yeyote aliye makini kabla hajaagiza kitu kutoka nje angependa kufahamu kiasi gani cha kodi kitalipwa. Kama Bashite aliamini kwamba angepata msamaha, angethibitisha hilo na TRA au Waziri. Lakini hakufanya hivyo. Kibaya zaidi samani hizo zimekuja kwa jina lake na si kwa jina la taasisi. Ama kweli kuwa kilaza ni mzigo!
 

KIKI
 
Hii ni poul Makonda not RC against wizara ya fedha sio mamlaka mbili za uteuzi kulumbana ni mamlaka v/s mtu binafsi ambaye alishapewa utaratibu lkn hajafata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…