DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Kwa kadri ya kadhia hii ya makontena, sasa ni wazi kwamba Makonda ndiye mfadhili wa buku 7 Lumumba. Siyo kwa utetezi huu wa wanalumumba, wanasahau kwamba hata Dkt Mpango ni mwanaccm pia na ni kiongozi mwandamizi katika serikali ya JPM.

Lumumba buku 7 kadri mnavyomtetea hili lijamaa ndiyo mnavyomzidi kumkera JPM, bora mkae kimya ili anusurike.
 
Hapa kijana kumfanya chochote kinachoombewa na wapinzani ni big loss kwa umaarufu wa mkuu ,mrejee adui mkubwa wa mh makonda mange kasema akifunguka anamtetea hii no mbinu ya wapinzani kuprogram maamuzi ya mkuu,nasema HIVI MKUU HAPANGIWI
 

Attachments

  • IMG-20180829-WA0033.jpg
    94.7 KB · Views: 27
Mimi sijaona tukio la maendeleo alilolifanya tangu sakata la makontena lianze!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…