DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

Kwa wale wanaochambua issues na siyo kujadili mtu/majungu Makonda ni Kiongozi mbunifu na ambaye kila Kiongozi mkubwa angependa kuwa naye kwenye safu yake ya Uonhozi.
Tatizo kubwa Tanzania MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA AU UJANGILI NI KITANZI.
Mhe. Makonda alikosea step alipojiingiza kwenye Vita ya Dawa za Kulevya, hakika hio vita haijawahi kumwacha mtu salama walahi, kikubwa wale wanaomuunga Makonda mkono waombee tu Mhe.Rais awe na maono vinginevyo drug dealer watatumia mpaka tone la mwisho kumwondoa. Kuna madon wako lupango leo unadhan hiyo vita ndogo. Pole sana Mhe. Makonda ulipaswa kusoma alama za Nyakati kwa mwezio Mhe. KAGASHEKI alichofanywa baada ya Vita ya Ujangili JK hajui kilichotokea mpaka akamtengua alikuja kujua baaadae kwamba alichezewa rafu.
Brother Makonda pambana werevu wooote wanajua mawe unayopopolewa yametoka wapi. Aluta Continua
Kwahiyo ukipambana na madawa ya kulevya hautakiwi kulipa kodi,?
Mimi sioni inshu hapo ya ajabu
Analipa kodi alizotaka kukwepa maisha yanaendelea
 
Kingereza jamani hivi ni red handed au ready handed ahh potelea mbaya
Watume na za kodi

Sent from my SM using Tapatalk
 
Kwa wale wanaochambua issues na siyo kujadili mtu/majungu Makonda ni Kiongozi mbunifu na ambaye kila Kiongozi mkubwa angependa kuwa naye kwenye safu yake ya Uonhozi.
Tatizo kubwa Tanzania MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA AU UJANGILI NI KITANZI.
Mhe. Makonda alikosea step alipojiingiza kwenye Vita ya Dawa za Kulevya, hakika hio vita haijawahi kumwacha mtu salama walahi, kikubwa wale wanaomuunga Makonda mkono waombee tu Mhe.Rais awe na maono vinginevyo drug dealer watatumia mpaka tone la mwisho kumwondoa. Kuna madon wako lupango leo unadhan hiyo vita ndogo. Pole sana Mhe. Makonda ulipaswa kusoma alama za Nyakati kwa mwezio Mhe. KAGASHEKI alichofanywa baada ya Vita ya Ujangili JK hajui kilichotokea mpaka akamtengua alikuja kujua baaadae kwamba alichezewa rafu.
Brother Makonda pambana werevu wooote wanajua mawe unayopopolewa yametoka wapi. Aluta Continua
Kwahiyo madawa yalimfanya apate zero fm4 ?
Madawa yalimfanya afoj vyeti
Madawa yalimfanya avamie vituo vya redio
Madawa yanatuma kuteka na kuua raia?
Madawa ndio yanamfanya aropoke kuwa atawachapa walimu viboko

Mufilis!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama trillion 1.5 ilipotelea hewani naamin na hii ya kontena 20 itapotelea hewani .this is Tanzania.
 
Back
Top Bottom