Kwa wale wanaochambua issues na siyo kujadili mtu/majungu Makonda ni Kiongozi mbunifu na ambaye kila Kiongozi mkubwa angependa kuwa naye kwenye safu yake ya Uonhozi.
Tatizo kubwa Tanzania MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA AU UJANGILI NI KITANZI.
Mhe. Makonda alikosea step alipojiingiza kwenye Vita ya Dawa za Kulevya, hakika hio vita haijawahi kumwacha mtu salama walahi, kikubwa wale wanaomuunga Makonda mkono waombee tu Mhe.Rais awe na maono vinginevyo drug dealer watatumia mpaka tone la mwisho kumwondoa. Kuna madon wako lupango leo unadhan hiyo vita ndogo. Pole sana Mhe. Makonda ulipaswa kusoma alama za Nyakati kwa mwezio Mhe. KAGASHEKI alichofanywa baada ya Vita ya Ujangili JK hajui kilichotokea mpaka akamtengua alikuja kujua baaadae kwamba alichezewa rafu.
Brother Makonda pambana werevu wooote wanajua mawe unayopopolewa yametoka wapi. Aluta Continua