Mkuu huko kwenu simiyu bado ni ufahari kutumia simu ya gharama huku maisha hayaelewek? Mm nimeridhika na hii tecno af imepasuka kioo na imekufa micMi naona haina haja ya kulumbana na wewe maana nimegundua akili yako ni kama uwezo wa hiyo cm unayotumia
mijitu ya Lumumba's njaa kaliMsiba sema machache , Makonda uliwahi kumtetea, mbaya zaid hujajua Magufuli yuko upande gani, unataka ukuu wa wilaya cheza kwa akili mchezo huu,
Nataka kununua popcorn za kutosha niimalize movie hii
Kwahiyo ukipambana na madawa ya kulevya hautakiwi kulipa kodi,?Kwa wale wanaochambua issues na siyo kujadili mtu/majungu Makonda ni Kiongozi mbunifu na ambaye kila Kiongozi mkubwa angependa kuwa naye kwenye safu yake ya Uonhozi.
Tatizo kubwa Tanzania MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA AU UJANGILI NI KITANZI.
Mhe. Makonda alikosea step alipojiingiza kwenye Vita ya Dawa za Kulevya, hakika hio vita haijawahi kumwacha mtu salama walahi, kikubwa wale wanaomuunga Makonda mkono waombee tu Mhe.Rais awe na maono vinginevyo drug dealer watatumia mpaka tone la mwisho kumwondoa. Kuna madon wako lupango leo unadhan hiyo vita ndogo. Pole sana Mhe. Makonda ulipaswa kusoma alama za Nyakati kwa mwezio Mhe. KAGASHEKI alichofanywa baada ya Vita ya Ujangili JK hajui kilichotokea mpaka akamtengua alikuja kujua baaadae kwamba alichezewa rafu.
Brother Makonda pambana werevu wooote wanajua mawe unayopopolewa yametoka wapi. Aluta Continua
Upo? Siku za karibu hujapiga safari, niko Tijuana mpakani Mwa Mexico na USA kesho narudi makazini kwangumijitu ya Lumumba's njaa kali
Mkuu sijui umeteleza hapo kwenye...... harafu dog!vinginevyo kama ulikusudia, basi sawa.
Kwahiyo madawa yalimfanya apate zero fm4 ?Kwa wale wanaochambua issues na siyo kujadili mtu/majungu Makonda ni Kiongozi mbunifu na ambaye kila Kiongozi mkubwa angependa kuwa naye kwenye safu yake ya Uonhozi.
Tatizo kubwa Tanzania MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA AU UJANGILI NI KITANZI.
Mhe. Makonda alikosea step alipojiingiza kwenye Vita ya Dawa za Kulevya, hakika hio vita haijawahi kumwacha mtu salama walahi, kikubwa wale wanaomuunga Makonda mkono waombee tu Mhe.Rais awe na maono vinginevyo drug dealer watatumia mpaka tone la mwisho kumwondoa. Kuna madon wako lupango leo unadhan hiyo vita ndogo. Pole sana Mhe. Makonda ulipaswa kusoma alama za Nyakati kwa mwezio Mhe. KAGASHEKI alichofanywa baada ya Vita ya Ujangili JK hajui kilichotokea mpaka akamtengua alikuja kujua baaadae kwamba alichezewa rafu.
Brother Makonda pambana werevu wooote wanajua mawe unayopopolewa yametoka wapi. Aluta Continua