DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

NPO SITI YA MBELE HAPA.... naenda kutafuta POPCONE
 
Heading na kilichomo tofauti!!
Uache tabia yako ya kutuvutia kusoma thread yako na hali unajua umeandika MASHUDU😡😡😡😡
 


Mpaka sasa wanaoitwa WanaDiaspora kimya.Hili nalo linaacha maswali.
Pili Documents zakuingiza mzigo zinasemaje???
 
Sababu kubwa ni kuwa anashirikiana na mukulu. Kwa makonda sikuona mapambano yoyote dhidi ya madawa ya kulevya zaidi ya kutaja taja mateja. Hana adui wa hivyo isipokuwa yeye ni partner wake.....
 

Ndio hicho nilichokisema kwamba siamini serikali yetu sio waelewa au wakatili kiasi ambacho tunataka kuaminishwa.

Kuna mahali taratibu zimekiukwa.
 

Ndio hicho nilichokisema kwamba siamini serikali yetu sio waelewa au wakatili kiasi ambacho tunataka kuaminishwa.

Kuna mahali taratibu zimekiukwa.
 
Basi wakuu wa kitengo cha madawa ya kulevya wawekewe ulinzi na wasistaafu maana was wanapambana siyo kwa kibahatisha Bali pia kwa kutumia teknolojia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diaspora hawawezi kuchangia pesa ndefu kama hiyo ............ michango tu ya misiba ni issue!!

Kwanza kufanikisha kitu kama hiki tungesikia siku nyingi kabla hata ya macontainer kufika Bongo. Ingewezekana kabisa wangekabidhi rasmi kwa kiongozi wa serikali ............!!
 
Ni ufahamu mdogo wa taratibu za uagizajia
mizigo ya misamaha ya kodi
Pili ni kujiona kila ulifanyalo liko sawa hata kama si kwa mamlaka yako , hayo yote tunaita ukurupukaji wa kila jambo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Mkuu MAGACHA ,ndiyo hiyo sababu moja tu? Ulikuwa na haja gani kusema sababu ni hizi hapa kama ipo moja? Nadhani,kawaida wananchi kama wewe hupiga ramli chonganishi. Kimsingi,ni Rais tu ndiye anayejua kwanini amemteua au kwanini amtumbue/asimtumbue.

Umejiuliza lengo hasa ya kuweka hiyo sababu?
Defense mechanisms?. Kuonewa huruma?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…