Del a boss
JF-Expert Member
- Apr 4, 2013
- 394
- 493
Huyu DAB ni mpuuzi kiwango cha super sonic yaani si alisema hausiki na imekuaje sasa...??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Tamko kutoka ziarani?Usiwe Na wasiwasi Chuma kimeanza Ziara Mikoa ya kanda ya Ziwa jibu utalipata
nakubaliana nawe mkuu, huyu jamaa alipaswa afanye kazi ndani ya chama tuu...huyu ni msaka sifa.Katika moja ya teuzi mbovu kabisa za Magufuli, Paul Makonda anashikilia nafasi ya kwanza.
Tiyari akiwa chato amesema Makonda alipe Kodi.Maisha yanaenda kwa kasi sana yani!...yani Mkuu wa Mkoa wazi wazi kabisa anabishana na Waziri anayehusika na jambo lililo chini yake!...na hata baadhi ya Mawaziri kufyata mkia kwa RC!
Tunazeeka kwa kasi sana aisee!
Zamani haya mambo usingeweza yadikia achilia mbali kuwaona kwenye Magazeti wakivuana nguo!
Huna lolote unataka upate chakuongeaPamoja na yote hayo, bado Rais na Mwenyekiti wangu wa CCM umekuwa kimya. Hukusema wala hukufanya lolote hadi sasa. Tangu kuanza kwa sakata lenye utata la makontena. Ukimya wako unamaanisha nini? Sema au tenda jambo moja ili tuujue msimamo kuhusu jambo hili.
- Wateule wako ambao ni Waziri wa Fedha (Phillip Mpango) na Mkuu wa Mkoa wa Dar (Paul Makonda alias DAB) wanaparurana hadharani
- Mmoja anasimamia sharia za kodi; mwenzake analialia kusaka huruma yako na ya wananchi ya kujichora kama anayeonewa na kukwamishwa.
- Wizara ya Fedha na TRA walitishwa na DAB kushtakiwa kwako lakini wameng'ang'ania upande wa kusimamia na kutekeleza sharia za kodi kuyahusu makontena.
- Waziri wa Fedha ameponda waziwazi laana ya DAB kuhusu wanunuzi kwenye mnada wa makontena.
- TRA wameshaelekezwa na Waziri wa Fedha kuendelea na mnada kama ulivyopangwa. Tarehe ya mnada uliotishiwa kuwa na laana ni 1/9/2018
- Nyaraka za kiserikali kutoka Ofisi ya DAB kuyahusu makontena sasa zinaanikwa mitandaoni katika kumtetea DAB.
- Wateule wako wanatunishiana misuli ya mwili na akili na wananchi wanamsubiri mshindi na mshindwa.
Uchaguzi unaotokana na ununuzi na wenye uchafuzi wala haunogi!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Duh! Tamko kutoka ziarani?
😃😃😃😃duh kayasema hayo lini?Tiyari akiwa chato amesema Makonda alipe Kodi.