Dar: Maandamano ya ACT Wazalendo kuelekea Ikulu kushinikiza waliotajwa wizi kwenye ripoti ya CAG kuchukuliwa hatua

Dar: Maandamano ya ACT Wazalendo kuelekea Ikulu kushinikiza waliotajwa wizi kwenye ripoti ya CAG kuchukuliwa hatua

Mpendwa muandamanaji...... Wapi picha?!
Nashindwa kwenda mbele kupiga picha au kujiselfia kwan kulia na kushoto kwangu kuna ffu wawili mmoja kabeba shoka mwingine ana sime na rungu. Asa najiuliza polisi na mashoka wap na wap
 
ACT na CUF ya Lipumba mko kwenye kapu moja la takataka za ccm.
Mnabebwa kuikomoa chadema lkn hata nyie wenyewe mnaujua mziki chadema ikitangaza maandamano.

Kweli mkuu. Mimi nimeshangaa wanaitisha maandamano halafu hawatoki hapo getini kwenye makao makuu ya kwao mpaka polisi walipokuja. Halafu risala wakaisomea hapohapo getini. Nikajiuliza maswali mengi.
 
Ccm na Upinzani Jambo ni moja tu ..ccm ni wezi na Upinzani nao ni mulemule tu .Nchi inakuwa na Upinzani usiokuwa na dira .Tabia za kupenda kuitisha press ni za utoto.
Swali langu ni jepesi, upinzani wameiba nini mpaka uwaite wezi?
 
Maandamano makubwa yameanza eneo la Fire Kariakoo yakiwa yameandaliwa na ACT-Wazalendo kushinikiza wezi wote walionaswa na Ripoti ya CAG waondolke maofisini kwenda magerezani.

Maandamano yanaongozwa na viongozi waandamizi wa chama hicho Cha upinzani na yataishia lango Kuu la Ikulu ya Magogoni ili yapokelewe na Rais Samia Suluhu Hassan.

Binafsi Niko mbele na bango langu. Hali ya hewa si rafiki sana hata kuandika ni taabu lakini umma unazidi kujitokeza kuwataja wezi wakamatwe.

Karibuni.

Pia soma > Polisi yazuia maandamano ya ACT Wazalendo
Amna lolote au niwamaigizo ya zto kumtafuta magu sio awa wezi wa sasa
 
Nashindwa kwenda mbele kupiga picha au kujiselfia kwan kulia na kushoto kwangu kuna ffu wawili mmoja kabeba shoka mwingine ana sime na rungu. Asa najiuliza polisi na mashoka wap na wap
Uliona wapi Polisi wanazuia maandamano wakiwa mikono mitupu
 

Attachments

  • 20230419_090951.jpg
    20230419_090951.jpg
    67.1 KB · Views: 2
Uliona wapi Polisi wanazuia maandamano wakiwa mikono mitupu
Sasa si walitakiwa wawe na bunduki , ngao au magar ya washawasha? Sime na mashoka wap na wap? Au siku hizi ccp wanatoa mafunzo ya kijadi?
 
Swali langu ni jepesi, upinzani wameiba nini mpaka uwaite wezi?
Mkuu Kwanza elewa Upinzani ndio dira ya serikali,Upinzani unapokuwa kibogoyo madhara yake ndiyo haya unayoyaona kutamalaki ufisadi kila sekta.

Nb Sijasema Upinzani umeiba ,ila viongozi wa Upinzani ni dhahiri wameungana na wanyonyaji.

Tumeshajadili Sana Hilo,Mbowe na Zitto kila mmoja anapitia mlango wake wa kuingilia Ikulu..
 
Back
Top Bottom