Kisesetusese
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 393
- 615
- Thread starter
-
- #41
Kwani ukiikalia hazipandi? Hiyo sio sabab ya ugumba wako. Zinapanda juu tena kwa kasiKwamba maji ndani ya Bomba yatapanda mlima
- Je huo mwinuko umekuja ghafla?Kinyerezi,segerea,mbezi Pako juu,panahitaji pampu yake, November walidai wanafunga pampu shida itaisha
Kinyerezi,mbezi hayakua makazi ya watu- Je huo mwinuko umekuja ghafla?
Na maji yapo tangu enzi kwa uwezo wa Mungu, ingekuwa yanatengenezwa viwandani .....
- Bima ya Afya Kwa wote lazima ielemewe Tu kwa kuwa magonjwa yatokanauo na maji yanasumbua mjini mpaka vijijini.
Hii nchi ni special case, kama ni wanafunzi tunasema ni wenye mahitaji maalumu, hatujiwezi
Hii nchi ni special case, kama ni wanafunzi tunasema ni wenye mahitaji maalumu, hatujiwezi
Matatizo na kero ndo sifa za nchii hii,vinginginevyo watatilia shaka uraia wako ukizungzia habari za kero!
Mkuu uko sahihi,
Wauza maji kwa malori Wanatoa cash kila siku ili maji yaendelee kuwa Shida Pande za Kimara, Bonyokwa,Kinyerezi TAKUKURU amkeni.
Vijana wanaofungulia maji kwa sasa wako kwenye mavuno makubwa. Kuna hujuma ili kumdhoofisha mtu, sasa watakaoumia ni Walalahoi.
Hii nchi ni special case, kama ni wanafunzi tunasema ni wenye mahitaji maalumu, hatujiwezi
Na mvua zote hizo bado muna mgawo wa maji tena yanakosa presha. Hapo kuna tatizo.
Hao mameneja wa dawasa wanapataje mapato yao.
Kinyerezi,segerea,mbezi Pako juu,panahitaji pampu yake, November walidai wanafunga pampu shida itaisha
Hii nchi ni special case, kama ni wanafunzi tunasema ni wenye mahitaji maalumu, hatujiwezi