Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kinyerezi,segerea,mbezi Pako juu,panahitaji pampu yake, November walidai wanafunga pampu shida itaisha
- Je huo mwinuko umekuja ghafla?
Na maji yapo tangu enzi kwa uwezo wa Mungu, ingekuwa yanatengenezwa viwandani .....
- Bima ya Afya Kwa wote lazima ielemewe Tu kwa kuwa magonjwa yatokanauo na maji yanasumbua mjini mpaka vijijini.
 
Kimara huu mwezi sasa, kwa wiki yanatoka mara 1 tu. Nchi inaendeshwa kisengerema sana, Mh. Rais anaigiza filamu, Inasikitisha sana
 
- Je huo mwinuko umekuja ghafla?
Na maji yapo tangu enzi kwa uwezo wa Mungu, ingekuwa yanatengenezwa viwandani .....
- Bima ya Afya Kwa wote lazima ielemewe Tu kwa kuwa magonjwa yatokanauo na maji yanasumbua mjini mpaka vijijini.
Kinyerezi,mbezi hayakua makazi ya watu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…