Dar: Mahakama ya Kisutu yajiweka kando kutoa uamuzi kesi ya Dkt. Slaa, Hakimu adai anafungwa mikono na Rufaa ya Jamhuri

Unatafunwa na laana, kuna waliokua na mdomo sana wakati wa utawala wa mwendazake kuliko wewe , walipigwa na kitu kizito na kupoteana apa jf , usishabikie uhovu kwa ya kumtegemea mwanadam, mambo hubadilika
Uovu anao Slaa na badooo
 
Kuingilia lissu swala hili limezidi kuwa gumu
Kitu unachofanya ni kukiri kuwa mahakama zinafanya kazi kwa kukomoa na siyo kufuata sheria. Na hii inazidi kudhihirisha kuwa mwafrika (mtu mweusi) hajafikia level ya kujiongoza mwenyewe kama walivyokuwa wanasema wakoloni. Haiwezekani serikali iingie kwenye mchezo wa kukomoa badala ya kuongoza. Na zaidi tuna rais shangingi asiyejua ABC za uongozi. Madhara ya huu ujinga yatakwenda mbali na yatawapata watu wote bila kujali dini, jinsia wala chama.
 
Wameamua kumuonyesha nguvu ya dola huyo mzee.

Kama mti mbichi unafanyiwa haya, je mti mkavu si itakua balaa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…