4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Unatafunwa na laana, kuna waliokua na mdomo sana wakati wa utawala wa mwendazake kuliko wewe , walipigwa na kitu kizito na kupoteana apa jf , usishabikie uhovu kwa ya kumtegemea mwanadam, mambo hubadilikaLeo nimefurahi mnoooo bado Lissu!!! Vipi hamuingii barabarani?
Uovu anao Slaa na badoooUnatafunwa na laana, kuna waliokua na mdomo sana wakati wa utawala wa mwendazake kuliko wewe , walipigwa na kitu kizito na kupoteana apa jf , usishabikie uhovu kwa ya kumtegemea mwanadam, mambo hubadilika
Badoo nini, wewe unaijua kesho yako?Uovu anao Slaa na badooo
Slaa alipokua akiropoka mambo ya hovyo kumbomoa Mbowe mlitaka aishi tu sio? Kwahyo Slaa Ana haki ya kuumiza wengine??Badoo nini, wewe unaijua kesho yako?
Wewe Mbowe amekulalamikia?Slaa alipokua akiropoka mambo ya hovyo kumbomoa Mbowe mlitaka aishi tu sio? Kwahyo Slaa Ana haki ya kuumiza wengine??
DuhDokta silaa ni mpuuzi aliyewasaliti watanzania katikati ya mapambano acha avune alichopanda.
Mbona naye kala kona?😁LISSU MWANASHERIA BORA WA TANZANIA. FANYA KAZI YAKO MUDA UNAENDA.
Kitu unachofanya ni kukiri kuwa mahakama zinafanya kazi kwa kukomoa na siyo kufuata sheria. Na hii inazidi kudhihirisha kuwa mwafrika (mtu mweusi) hajafikia level ya kujiongoza mwenyewe kama walivyokuwa wanasema wakoloni. Haiwezekani serikali iingie kwenye mchezo wa kukomoa badala ya kuongoza. Na zaidi tuna rais shangingi asiyejua ABC za uongozi. Madhara ya huu ujinga yatakwenda mbali na yatawapata watu wote bila kujali dini, jinsia wala chama.Kuingilia lissu swala hili limezidi kuwa gumu
Mpumbavu sana wewe kwahyo Slaa kakulalamikia? Bado lissu lazima tumkamue ule usaha uliojaza tumbo lakeWewe Mbowe amekulalamikia?
Huu ndiyo ujinga uliopitiliza. Ukishaona mtu anashangalia sheria kuvunjwa basi hana tofauti na mwehu kwa sababu madhara yake yanakwenda mbali.Dokta silaa ni mpuuzi aliyewasaliti watanzania katikati ya mapambano acha avune alichopanda.
Laana ya ukoo wako inakusumbuaMpumbavu sana wewe kwahyo Slaa kakulalamikia? Bado lissu lazima tumkamue ule usaha uliojaza tumbo lake
Wameamua kumuonyesha nguvu ya dola huyo mzee.Uamuzi uliotarajiwa kutolewa leo Januari 31, 2025 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwenye shtaka linalomkabili Dkt. Wilbrod Slaa ikiwa ni baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuagiza shauri la Dkt. Slaa lirejeshwe Kisutu kwaajili ya kushughulikiwa kwa dhamana yake umeshindwa kutolewa.
Hoja iliyoelezwa na Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki kukwamisha uamuzi huo ni kuwa, Jamhuri imekata rufaa kwenye Mahakama ya Rufaa, hivyo wanafungwa mikono katika kutoa uamuzi mpaka majibu ya rufaa hiyo yatakapotolewa.
Kufuatia uamuzi huo baada ya mabishano ya kisheria, Wakili upande wa mshtakiwa, Peter Madeleka ameeleza kuwa yeye na timu ya mawakili wengine wa utetezi hawajaridhishwa na maamuzi hayo kwani uwepo wa rufaa bado hauzuii haki zingine za msingi za mshtakiwa kama dhamana.
Itakumbukwa leo Januari 31, 2025 ilitarajiwa kutolewa uamuzi wa pingamizi la uhalali wa hati ya mashtaka, ambapo kwa mujibu wa mwendo wa kesi hiyo endapo ingefanyika hivyo ndipo mahakama ingeweza kiendelea na shauri juu ya dhamana ya Dkt. Slaa.
Kwa sasa mtuhumiwa huyo ambaye leo hakuletwa mahakamani kutokana na kilichodaiwa kwamba kulikuwepo na changamoto ya gari iliyotakiwa kuwapeleka washtakiwa Mahakamani, hivyo anaendelea kukaa rumande.
[emoji2365] rufaa inakuja baada ya maamuzi. Sasa rufaa ya nini wakati maamuzi hawajatoa[emoji23]
Dua la kuku,slaa mwenyewe alimkimbia mungu akaamua kuoa,Haya mashetani yanayomtesa Dr Slaa, hakika yatavuna mateso mara 3 zaidi ya mateso yanayompa Dr. Slaa. Ngoja watakatifu wa Mungu waingie kwenye maombi ya nguvu.
Kwa mtu mwenye busara hawezi kutoa hoja mfu namna hiyo. Hakuna uadui wa kudumu katika siasaDokta silaa ni mpuuzi aliyewasaliti watanzania katikati ya mapambano acha avune alichopanda.
Kwa mtu mwenye busara hawezi kutoa hoja mfu namna hiyo. Hakuna uadui wa kudumu katika siasaDokta silaa ni mpuuzi aliyewasaliti watanzania katikati ya mapambano acha avune alichopanda.
Sahii kabisa, Kuna Watu wengi wa kuonewa huruma, Ila sio Kwa Dr. SlaaDokta silaa ni mpuuzi aliyewasaliti watanzania katikati ya mapambano acha avune alichopanda.