H
Hata yeye Slaa alishangilia dhidi ya Mbowe na Lisu huyohuyo. Acha apimiwe kwa kipimo kilekile ili ajifunze.Huu ndiyo ujinga uliopitiliza. Ukishaona mtu anashangalia sheria kuvunjwa basi hana tofauti na mwehu kwa sababu madhara yake yanakwenda mbali.