Pre GE2025 Dar: Method Damian Kumdyanko adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakiwa na silaha

Pre GE2025 Dar: Method Damian Kumdyanko adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakiwa na silaha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Method Damian Kumdyanko mkazi wa Sinza Dar Es Salaam anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wenye silaha siku ya Februari 28, 2025 nje ya geti la nyumba yake Sinza Dar Es Salaam.

Akizungumza na Jambo TV Tura Chaula ambaye ni rafiki wa kike wa Method na aliyeshuhudia tukio hilo amesema siku hiyo alisikia kelele getini za kuomba msaada kutoka kwa sauti anayoifahamu(sauti ya method) na alipotoka kwenda kufungua geti alikuta watu zaidi ya sita wakiwa na silaha aina ya bastola wakimlazimisha Method kuingia kwenye gari aina ya Prado

“ilikua majira ya saa mbili usiku Method ametoka kwenye mizunguko yake na alipofika getini nilisikia vishindo na kelele za Method akitaka asaidiwe kwa kufungua mlango”

"Baada ya kutoka na kufungua mlango nilimkuta amevamiwa na kushikiliwa na watu wenye silaha wasiopungua sita ambapo walimkamata na kumfunga pingu bila kutuambia wanampeleka wapi na sababu ya kumkamata ni ipi” amesema Tura.

Soma Pia:
Tura ameongeza kuwa wahusika hawakuwa wakizungumza bali walimuingiza kwenye gari hilo jeupe aina ya prado na kupotea kusipojulikana.

“hawakutujibu ili tujue kama ana kosa au anapelekwa sehemu gani na baada ya hapo walimpakia kwenye gari na kuondoka naye”

Aidha ameeleza kuwa wamefanya jitihada za kumtafuta kwenye vituo vya Polisi lakini hawakufanikiwa kumpata.
20250302_210801.jpg
 
Method Damian Kumdyanko mkazi wa Sinza Dar Es Salaam anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wenye silaha siku ya Februari 28, 2025 nje ya geti la nyumba yake Sinza Dar Es Salaam.

Akizungumza na Jambo TV Tura Chaula ambaye ni rafiki wa kike wa Method na aliyeshuhudia tukio hilo amesema siku hiyo alisikia kelele getini za kuomba msaada kutoka kwa sauti anayoifahamu(sauti ya method) na alipotoka kwenda kufungua geti alikuta watu zaidi ya sita wakiwa na silaha aina ya bastola wakimlazimisha Method kuingia kwenye gari aina ya Prado

“ilikua majira ya saa mbili usiku Method ametoka kwenye mizunguko yake na alipofika getini nilisikia vishindo na kelele za Method akitaka asaidiwe kwa kufungua mlango”

"Baada ya kutoka na kufungua mlango nilimkuta amevamiwa na kushikiliwa na watu wenye silaha wasiopungua sita ambapo walimkamata na kumfunga pingu bila kutuambia wanampeleka wapi na sababu ya kumkamata ni ipi” amesema Tura

Tura ameongeza kuwa wahusika hawakuwa wakizungumza bali walimuingiza kwenye gari hilo jeupe aina ya prado na kupotea kusipojulikana.

“hawakutujibu ili tujue kama ana kosa au anapelekwa sehemu gani na baada ya hapo walimpakia kwenye gari na kuondoka naye”

Aidha ameeleza kuwa wamefanya jitihada za kumtafuta kwenye vituo vya Polisi lakini hawakufanikiwa kumpata.
View attachment 3256233
Ndio nani huyu!!? Ana shughuli gani mjini!!?
 
Method Damian Kumdyanko mkazi wa Sinza Dar Es Salaam anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wenye silaha siku ya Februari 28, 2025 nje ya geti la nyumba yake Sinza Dar Es Salaam.

Akizungumza na Jambo TV Tura Chaula ambaye ni rafiki wa kike wa Method na aliyeshuhudia tukio hilo amesema siku hiyo alisikia kelele getini za kuomba msaada kutoka kwa sauti anayoifahamu(sauti ya method) na alipotoka kwenda kufungua geti alikuta watu zaidi ya sita wakiwa na silaha aina ya bastola wakimlazimisha Method kuingia kwenye gari aina ya Prado

“ilikua majira ya saa mbili usiku Method ametoka kwenye mizunguko yake na alipofika getini nilisikia vishindo na kelele za Method akitaka asaidiwe kwa kufungua mlango”

"Baada ya kutoka na kufungua mlango nilimkuta amevamiwa na kushikiliwa na watu wenye silaha wasiopungua sita ambapo walimkamata na kumfunga pingu bila kutuambia wanampeleka wapi na sababu ya kumkamata ni ipi” amesema Tura

Tura ameongeza kuwa wahusika hawakuwa wakizungumza bali walimuingiza kwenye gari hilo jeupe aina ya prado na kupotea kusipojulikana.

“hawakutujibu ili tujue kama ana kosa au anapelekwa sehemu gani na baada ya hapo walimpakia kwenye gari na kuondoka naye”

Aidha ameeleza kuwa wamefanya jitihada za kumtafuta kwenye vituo vya Polisi lakini hawakufanikiwa kumpata.
View attachment 3256233
Kumdyanko? Jina mbona kama la Ukraine?
 
1.
Alikuwa anafanya kazinwap
2.
Method Damian Kumdyanko mkazi wa Sinza Dar Es Salaam anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wenye silaha siku ya Februari 28, 2025 nje ya geti la nyumba yake Sinza Dar Es Salaam.

Akizungumza na Jambo TV Tura Chaula ambaye ni rafiki wa kike wa Method na aliyeshuhudia tukio hilo amesema siku hiyo alisikia kelele getini za kuomba msaada kutoka kwa sauti anayoifahamu(sauti ya method) na alipotoka kwenda kufungua geti alikuta watu zaidi ya sita wakiwa na silaha aina ya bastola wakimlazimisha Method kuingia kwenye gari aina ya Prado

“ilikua majira ya saa mbili usiku Method ametoka kwenye mizunguko yake na alipofika getini nilisikia vishindo na kelele za Method akitaka asaidiwe kwa kufungua mlango”

"Baada ya kutoka na kufungua mlango nilimkuta amevamiwa na kushikiliwa na watu wenye silaha wasiopungua sita ambapo walimkamata na kumfunga pingu bila kutuambia wanampeleka wapi na sababu ya kumkamata ni ipi” amesema Tura

Tura ameongeza kuwa wahusika hawakuwa wakizungumza bali walimuingiza kwenye gari hilo jeupe aina ya prado na kupotea kusipojulikana.

“hawakutujibu ili tujue kama ana kosa au anapelekwa sehemu gani na baada ya hapo walimpakia kwenye gari na kuondoka naye”

Aidha ameeleza kuwa wamefanya jitihada za kumtafuta kwenye vituo vya Polisi lakini hawakufanikiwa kumpata.
View attachment 3256233
Kama biashara zake mnajua uhalali wake
3 kama yote HAPO juu n safi CHUNGUZENI simu yake mnaweza PATA badhi ya mawasilianooooooo kujua kama alikuwa na shida na mtu ama lah ...
4.fanyeni maombi
Ni maombi Yangu kwa Mungu usje ikawa n mambo ya madeni kudaiana ama kurukana Dili hizi kumpata mtu hai ngumusana sana Mungu apitishir mbali
 
Dah c tulikubaliana JPM ndo mhusika wa haya mambo, nani huyo amemfufua marehemu kuja kuendeleza moto? 😂
Yeye ndiye muasisi, ila vijana wake wamenogewa, ukizingatia sasa hivi usalama wa raia si kipaumbele cha mama wala mjomba kassim, hivyo tutegemee kuendelea kupata taarifa kama hizi kila iitwapo leo.
 
Back
Top Bottom