Umslopagazi
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,675
- 903
Kwani we umekufa?Hizi ni tabia za mtu aliyeshiba uji na futari ya magimbi tulia tumbo liwe empty ndio akili zitakurudia kisha uje kwenye mjadala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani we umekufa?Hizi ni tabia za mtu aliyeshiba uji na futari ya magimbi tulia tumbo liwe empty ndio akili zitakurudia kisha uje kwenye mjadala.
Task force za magu bado zina operate, ila sasa hazina kiongozi rasmi, so zinajiendea tu bila uratibu wowote, mtu akijisikia tu hamu ya kitimoto anaingia road, anakamata mtu wake, anamteka na kudai ngawira kwa jamaa zake, na kwa sheria mpya hawa watu huwezi kuwashtaki, hata ukiwakamata ready handed.1.
Alikuwa anafanya kazinwap
2.
Kama biashara zake mnajua uhalali wake
3 kama yote HAPO juu n safi CHUNGUZENI simu yake mnaweza PATA badhi ya mawasilianooooooo kujua kama alikuwa na shida na mtu ama lah ...
4.fanyeni maombi
Ni maombi Yangu kwa Mungu usje ikawa n mambo ya madeni kudaiana ama kurukana Dili hizi kumpata mtu hai ngumusana sana Mungu apitishir mbali
UKo Kenya n BALAA mkuu nimetoka last week nilikuwa kama miezi 3 watoto wazuri wanatekwa mbayaa mkuu mnapigiwa tupeni million 3 tumwachie aisee ukifika siku amjatekelezs mnakutana na MAITI imetupwaaaTask force za magu bado zina operate, ila sasa hazina kiongozi rasmi, so zinajiendea tu bila uratibu wowote, mtu akijisikia tu hamu ya kitimoto anaingia road, anakamata mtu wake, anamteka na kudai ngawira kwa jamaa zake, na kwa sheria mpya hawa watu huwezi kuwashtaki, hata ukiwakamata ready handed.
Kwahy vijana wanafanya hvy kwa maagizo na naniYeye ndiye muasisi, ila vijana wake wamenogewa, ukizingatia sasa hivi usalama wa raia si kipaumbele cha mama wala mjomba kassim, hivyo tutegemee kuendelea kupata taarifa kama hizi kila iitwapo leo.
Unajua alipo? Huwa ni huzuni kupata comments kama hizi kwenye kitu serious.Unaweza ona ni jambo dogo hiv.Ngoja likukute wewe au kwa mtu wako wa karibuKumdyango?
Majina mengine kama siyo matusi sijui
Akili za kirupu kurupu hizi.Mpaka mkatubu kwenye kaburi la Magufuli nyumbu nyie
Hiyo nyumba Haina CCTV camera au walikwama wapi kuchukua videoMethod Damian Kumdyanko mkazi wa Sinza Dar Es Salaam anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wenye silaha siku ya Februari 28, 2025 nje ya geti la nyumba yake Sinza Dar Es Salaam.
Akizungumza na Jambo TV Tura Chaula ambaye ni rafiki wa kike wa Method na aliyeshuhudia tukio hilo amesema siku hiyo alisikia kelele getini za kuomba msaada kutoka kwa sauti anayoifahamu(sauti ya method) na alipotoka kwenda kufungua geti alikuta watu zaidi ya sita wakiwa na silaha aina ya bastola wakimlazimisha Method kuingia kwenye gari aina ya Prado
“ilikua majira ya saa mbili usiku Method ametoka kwenye mizunguko yake na alipofika getini nilisikia vishindo na kelele za Method akitaka asaidiwe kwa kufungua mlango”
"Baada ya kutoka na kufungua mlango nilimkuta amevamiwa na kushikiliwa na watu wenye silaha wasiopungua sita ambapo walimkamata na kumfunga pingu bila kutuambia wanampeleka wapi na sababu ya kumkamata ni ipi” amesema Tura
Tura ameongeza kuwa wahusika hawakuwa wakizungumza bali walimuingiza kwenye gari hilo jeupe aina ya prado na kupotea kusipojulikana.
“hawakutujibu ili tujue kama ana kosa au anapelekwa sehemu gani na baada ya hapo walimpakia kwenye gari na kuondoka naye”
Aidha ameeleza kuwa wamefanya jitihada za kumtafuta kwenye vituo vya Polisi lakini hawakufanikiwa kumpata.
View attachment 3256233
Watu wa mzena wameanza kuchukuliwa na wao? Sasa nani yuko salama?Method Damian Kumdyanko mkazi wa Sinza Dar Es Salaam anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wenye silaha siku ya Februari 28, 2025 nje ya geti la nyumba yake Sinza Dar Es Salaam.
Akizungumza na Jambo TV Tura Chaula ambaye ni rafiki wa kike wa Method na aliyeshuhudia tukio hilo amesema siku hiyo alisikia kelele getini za kuomba msaada kutoka kwa sauti anayoifahamu(sauti ya method) na alipotoka kwenda kufungua geti alikuta watu zaidi ya sita wakiwa na silaha aina ya bastola wakimlazimisha Method kuingia kwenye gari aina ya Prado
“ilikua majira ya saa mbili usiku Method ametoka kwenye mizunguko yake na alipofika getini nilisikia vishindo na kelele za Method akitaka asaidiwe kwa kufungua mlango”
"Baada ya kutoka na kufungua mlango nilimkuta amevamiwa na kushikiliwa na watu wenye silaha wasiopungua sita ambapo walimkamata na kumfunga pingu bila kutuambia wanampeleka wapi na sababu ya kumkamata ni ipi” amesema Tura
Tura ameongeza kuwa wahusika hawakuwa wakizungumza bali walimuingiza kwenye gari hilo jeupe aina ya prado na kupotea kusipojulikana.
“hawakutujibu ili tujue kama ana kosa au anapelekwa sehemu gani na baada ya hapo walimpakia kwenye gari na kuondoka naye”
Aidha ameeleza kuwa wamefanya jitihada za kumtafuta kwenye vituo vya Polisi lakini hawakufanikiwa kumpata.
View attachment 3256233
Labda bado hajafa.Dah c tulikubaliana JPM ndo mhusika wa haya mambo, nani huyo amemfufua marehemu kuja kuendeleza moto? 😂
Ukatubu kwa shetani mwasisi?Mpaka mkatubu kwenye kaburi la Magufuli nyumbu nyie
Kabila gani?Dini gani?
Mateka, waliomteka watampangia.Ndio nani huyu!!? Ana shughuli gani mjini!!?
Basi ni Mrundi kama Mpango mwenyewe!Majina ya Buhigwe hayo kwa Makamu wa Rais
Alishasema KIFO NI KIFO TU!Haya mambo mbona kipindi hichi cha Samia yamekuwa mengi na yeye amekaa kimya ? Viongozi wa dini wako kimya na huku raia wanatekwa na kuuwawa.
kwa mtekaji mkuuMpaka mkatubu kwenye kaburi la Magufuli nyumbu nyie