Pre GE2025 Dar: Method Damian Kumdyanko adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakiwa na silaha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Alikuwa anajihusisha na harakati gani za kuikera serikali
 
Kwa hio sir name waanze kuulizia ofisi za uhamiaji
 
"Huyu jamaa ni classmate shule ya wazazi ya CCM Meta mbeya. Wana darasa wanasema wakati jitihada nyingine zinaendelea, tupate siku ya maombi kwa kufunga, Mwenyezi Mungu alete Nuru kwa kijana apatikane."
 
Haya mambo mbona kipindi hichi cha Samia yamekuwa mengi na yeye amekaa kimya? Viongozi wa dini wako kimya na huku raia wanatekwa na kuuawa!
Humu nchini kuna kiongozi wa Dini, Dini gani wakati viongozi wote wapo kwenye Payrol.
2 Timotheo 3
1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.

2 Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,

3 wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema,

4 wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;

5 wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…