Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Kweli angesema neno kwasabb yeye ndoanae jua wageni (wazungu) waliingia je nchini kwa shughuri gani na lini? passport zao airport zilikua scaned.....kama uturuki ambavyo imewakamata wa saudia walio shiriki zoezi la kumua khashogi....watu 15 camera za airport na passport zao zimebainiwa wakati wanaingia uturuki kwa wakati tofouti nategemea kitu kama hicho kwa waziri wetu....Wazungu wanao ingia nchini sio wegi tunaweza kuwa trace haraka.
Waziri wa mambo ya ndani Mh Kangi Lugola ni kama amepugwa ganzi vile. Hajasikika kokote, kwa kulaani na kuonesha mkakati wa kumpata Tajiri Mo.

Kama tujuavyo kwa kila tukio Nchini, lazima waziri huyu atoke hadharani na kusema chochote.

Je Waziri amejiepusha na huu mchezo mchafu?
Au Hataki kushiriki kwenye ishu ya kitoto?
Au sio level yake kusemea hili?
 
Wala sio kubana matmizi ni hoby tu mkuu angekuwa anabana matumizi asingekuwa anamwaga mabilioni msimbazi kila siku
Eti anamwaga mabilioni pale msimbazi thubutuuuu, masoud djuma angeacha kuambatana na timu kisa hajalipwa mishahara yake?
 
Hii the so called CCM mpya itazidi kuwafanya vijana kuwa mazezeta. Wanajaribu kurejesha propoganda zilizopitwa na wakati za enzi za ujamaa. Sasa unasikia hata viongozi wao wanatamka majukwaani 'mabepari' (watakiona kijinga cha moto), mabeberu, nk. Hizi propoganda zilikuwa na maana wakati wa vita baridi za kiitikadi kati ya ubepari vs usoshalisti. Lakini dunia imebadilika na kila mmoja (ikiwa ni pamoja na Tanzania, China, Urusi, nk) amekumbatia itikadi ya soko huria. Sasa propoganda za enzi za ujamaa hazina mashiko katika zama hizi za soko huria.. Ni kuapotosha vijana. Wanabakia kuimba vitu visivyokuwepo!!
Inaitwa unafiki kazini..
 
Duh!Watu wasioujulikana hao bila shaka!

Hii nchi sasa!!

Walitekwa na kupotea watu wa kawaida, tukaona ni mambo madogo.Leo wanatekwa matajjri na watu maarufu labda sasa ndio tutashituka.

Nakumbuka pia yaliompata Lissu na mfanyabiashara wa Tarime bwana Zakaria.

Wacha tusubiri tuone nini kinaendelea tutapata picha kamili.

Kwa sasa wanaweza kuwa wanapima upepo.Pressure ikiwa kubwa,wanaweza kumwachia ikiwa mpaka sasa bado yuko salama.

Hii update kuwa katekwa na wazungu,inanipa maswali mengi sana na mojawapo ni wazungu gani hao wa kumteka mtu tajiri kama huyo tena wakiwa katika nchi ya watu?

Wanajiamini nini?
MipoliCCM inapotosha watu kuwa katekwa na wazungu (ambao sio raia wa Tanzania!!) ili kuwafanya wananchi waamini uongo wao.

Je poliCCM walijuaje kwamba hao wazungu sio watanzania?

Kwani kuwa raia lazima uwe rangi ya Kiswahili tu? Mbona akina Kanjibai ni weupe lakini ni watanzania?

Ikiwa watu walikuwa wamejifunika nyuso zao walijuaje kwamba ni wazungu na kwamba sio raia? Kwani walionesha vitambulisho?

Sijawahi kamwe kuwaamini mapoliCCM wa chi hii.
 
Mtoto akiiba hela nyumbani haiitaji akiri kubwa kumjua,kwa mantiki hiyo byshytee atakuwa anajua kila kitu behind the scene, ni suala LA muda tu ,Mimi naamini mo atapatikana akiwa hai kutokana na presha iliyopo nchini,pia hakuna wahusika maalum watakao kamatwa.
 
Njia pekee ya kuwakomesha wasiojulikana ni kuwatandika Risasi popote wanapojitokeza itawaogopesha waache kuonea watu.
Utawajuaje wakati hawajulikani? Mbona wasiojulikana waliotaka kumuua Lissu waling'oa CCTV cameras baada ya tukio na walinzi waliokuwepo pale kwa Lissu waliondolewa immediately kabla ya tukio? Wasiojulikana nao walisomeshwa jinsi ya kujihami usidhani wapo kibwegebwege!!!!!
 
Utawajuaje wakati jawajulikani? Mbona wasiojulikana waliotaka kumuua Lissu waling'oa CCTV cmeras baada ya tukio na walinzi waliokuwepo pale kwa Lissu waliondolewa immediately? Waiojulikana nao walisomeshwa jinsi ya kujihami usidhani wapo kibwegebwege!!!!!
Jibu la karne
 
Hawa wasiojulikana ndio wale wale waliomfanyia Lissu umafia. They are trained using taxpayers' money. Inauma sana.
Mtoto akiiba hela nyumbani haiitaji akiri kubwa kumjua,kwa mantiki hiyo byshytee atakuwa anajua kila kitu behind the scene, ni suala LA muda tu ,Mimi naamini mo atapatikana akiwa hai kutokana na presha iliyopo nchini,pia hakuna wahusika maalum watakao kamatwa.
 
MipoliCCM inapotosha watu kuwa katekwa na wazungu (ambao sio raia wa Tanzania!!) ili kuwafanya wananchi waamini uongo wao.

Je poliCCM walijuaje kwamba hao wazungu sio watanzania?

Kwani kuwa raia lazima uwe rangi ya Kiswahili tu? Mbona akina Kanjibai ni weupe lakini ni watanzania?

Ikiwa watu walikuwa wamejifunika nyuso zao waijuaje kwamba ni wazungu na kwamba sio raia? Kwani walionesha vitambulisho?

Sijawahi kamwe kuwaamini mapoliCCM wa chi hii.


Je poliCCM walijuaje kwamba hao wazungu sio watanzania?

Kwani kuwa raia lazima uwe rangi ya Kiswahili tu? Mbona akina Kanjibai ni weupe lakini ni watanzania?

Ikiwa watu walikuwa wamejifunika nyuso zao waijuaje kwamba ni wazungu na kwamba sio raia? Kwani walionesha vitambulisho?


Uko vizuri mkuu.
 
Wadau nimeona katika youtube kuwa amepatikana. wenye uhakika watuhabarishe
 
Nchi ina amani, anapenda uhuru wake. Akina Trump wanajutia uhuru kama huo, hawezi kujiendesha kwenda popote anapotaka, na muda wote kazungurukwa na watu.
 
Back
Top Bottom