Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

hivi ndoto yetu ya tanzania ya viwanda itatimia kweli kama tunatekana kwa kasi hivi.Watu msiojulikana mnatuharibia tanzania ya viwanda
 
hivi ndoto yetu ya tanzania ya viwanda itatimia kweli kama tunatekana kwa kasi hivi.Watu msiojulikana mnatuharibia tanzania ya viwanda
Mkuu jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Kilichotokea hapa ni mbuzi wa JOHN kula mahindi ya JOHN. Kama "wasiojulikana" wameamua kumteka ina maana suala la viwanda wameliweka pending kwanza.😳🙄😵
 
Vipi ile inshu ya Hans pope ,imeshaisha au bado na yeye anatafutwa?
 
Walikuja wakamteka nanihii, sikusema chochote kwakua hakunihusu, wakarudi wakamteka nanihii Yule, sikusema kitu maana niliamini ni Umbea wake mwenyewe, alipojeruhiwa nanihii sikusaidia kwakua aliingilia mambo yasiyomhusu, lakini walikuja wakamteka Mwandishi, sikusema chochote kile maana Mimi taarifa nazipata JF
... Hatimaye wakanijia! Sikua na mtetezi maana wote walishatoweshwa
 
Back
Top Bottom