Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mo atakuwa ametekwa na Yanga![emoji16][emoji16][emoji16]
Walikanusha taarifa za kupatikana.Wadau nimeona katika youtube kuwa amepatikana. wenye uhakika watuhabarishe
Mkuu jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Kilichotokea hapa ni mbuzi wa JOHN kula mahindi ya JOHN. Kama "wasiojulikana" wameamua kumteka ina maana suala la viwanda wameliweka pending kwanza.😳🙄😵hivi ndoto yetu ya tanzania ya viwanda itatimia kweli kama tunatekana kwa kasi hivi.Watu msiojulikana mnatuharibia tanzania ya viwanda
Ahaa basi sawaMkuu jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Kilichotokea hapa ni mbuzi wa JOHN kula mahindi ya JOHN. Kama "wasiojulikana" wameamua kumteka ina maana suala la viwanda wameliweka pending kwanza.😳🙄😵
Lipite tu wangapi wamepotea.
If that's your definition of equality then it's okay.All people are equal, but some are more equal than others.
Lakini umesikitika?Naam ni kweli ". tujiandae ki psychology na majibu ya mambo sasa ... Nakumbuka risasi iliyomtoa uhai akwilina alisema kuwa ili kata kona
DahLipite tu wangapi wamepotea.
.... under the sun.All people are equal, but some are more equal than others.