Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Hahaa
 

Intelligencia iliyopo ni kuiba kula tu ili chama sikivu lizidi kujikita kileleni!!
 
Daudi Albert Bashite usidhani unanguvu kuliko Mungu hiyo nafasi itapita na ulaanike wewe na kizazi chako
 
Katika bara la Afrika kwa mwaka huu MO ni tajiri wa saba kutekwa. Hivyo hili ni wimbi jipya la msingi tuviamini vyombo vyetu vya usalama. Hata huko kwenye hayo mashirika ya kijasusi uliyoyataja haya hutokea
Spinning Doctors mwachieni nyie mashetani wakubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…