ZEE LA HEKIMA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,420
- 1,842
Jeshi la polisi si wamesema ni jambo la kawaida na watu waendelee na shghuli za kulijenga Taifa? Lugola mwenyewe badala ya kutuhakikishia kuwa uchunguzi wa kumpata mtekwaji unaendelea kwa kasi na kuomba huo ushirikiano, hakusema hivyo wala kuomba ushirikiano wa wananchi.Sanasana alisema kuna amani, na akukumbushia kuwa jiwe ndo rais(sijui kutekwa kuna uhusiano gani na yeye kutokuwa ama kuwa rais?), unless kuna yaliyomo nyuma ya pazia tusiyoyajua(ambapo mimi ninaamini hivyo)Pia alisema hakuna uhalifu zaidi ya wivu wa mapenzi ambao polisi ndo wanafuatilia. Khaa! kaazi!Kazi ya ulinzi na usalama ni ya kila mwananchi na kila mzalendo si ya majeshi pekee.Kila mwananchi asaidie kupatikana kwake.Kuliachia jeshi la polisi pekee ni ufinyu wako wa akili mleta mada
Kesho Tena utageuka utasema ni kazi ya Polisi wasiingiliwe.Kazi ya ulinzi na usalama ni ya kila mwananchi na kila mzalendo si ya majeshi pekee.Kila mwananchi asaidie kupatikana kwake.Kuliachia jeshi la polisi pekee ni ufinyu wako wa akili mleta mada
Hawana uwezo huo mhusika hawezi kujichunguzaNiswali tu nauliza tutafakari kwa pamoja kwa mujibu ya historia ya vijana wa Sirro
Mtu akipotea mitaani pamoja na kuripoti polisi spika misikitini hutangaza kuwa yeyote atakayemwona apeleke taarifa kituo cha polisi au msikitini nk Kupotea mtu si kitu cha kuachia polisi tuMpuuzi kweli wewe, kesho Tena utageuka utasema ni kazi ya Polisi wasiingiliwe.
Kwani mtu akivaa mask mikono aiyonrkani kuona rangi ya ngozi, kingine ni saokolojia ndogo tu kwamba endapo weupe wamkono angekuwa nao mmoja ingekuwa ni wa Africa ila kuwaona wote na rangi nyrupe inamaana ni wazungu uwenda hata wakawa albino ila aiwezi albino kuongozana kwa infruence hipi asa.Habari hii kwenye gazeti la leo la Mtanzania limeandika habari ambayo imenifikirisha sana. Hebu na nyie wadau mtafakari haya maneno halafu muone yana maana gani.
Mtanzania limendika;-
...........hata baada ya Kamanda Mambosasa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kudai kuwa waliotekeleza tukio hilo ni wazungu, hoja ambayo imezua maswali namna walivyofahamu uraia wao mara moja, licha ya watu hao kudaiwa kuvalia kininja.....
Umejuaje kuwa ni yeye!?Daudi Albert Bashite usidhani unanguvu kuliko Mungu hiyo nafasi itapita na ulaanike wewe na kizazi chako
Kama rahisi fanya wewe mkuuKila nikimfikiria MO naumia sana moyoni,sijawah kuwa na mawazo mabaya kuhusu serikali,lakn kwa ishu hii naona kabisa INTELIGENCIA YETU HAINA MAANA KABISA
IVI KWELI SERIKALI IMESHINDWA KUTUMIA WATAALAMU WA MASUALA YA KIPOLISI HATA KIJESHI KUWATAMBUA WATEKAJI WA MO NA KUJUWA YUPO WAPI
BASI KAMA TUMESHINDWA TUITE VYOMBO VYA NJE VIJE VITUSAIDIE KUMTAFUTA JAMAA
TUNASHINDWAJE KUITA CIA,FBI, NA VYOMBO VINGINE VYA KIMATAIFA
TUTUMIE VYOMBO HIVI SABABU JAMAA YUPO SMART
Ungerahisisha tu kuwa hawana uwezo huo peke yao.Maoni yangu: Linahitaji ushirikiano kutoka kwa wananchi na pengine hata vyombo vya ulinzi vya kimataifa.
Na ushirikiano kutoka kwa wananchi itategemea na jeshi letu lina behave vipi kwa wananchi!
Kwani muhindi sio mtu? Hata wewe si ni kabila fulani tu?Una ugonjwa wa ,,Stockholm Syndrome“, Muhindi keshakumaliza kazi, dadadeki, Muhindi anakuuma hivyo?
Umenikumbusha wale wazee wanafanya kazi kwa Muhindi Posta kulea watoto na kutumwa, miaka zaidi ya 30 kutumwa kulea watoto wa Kihindi, ni waaminifu kwa Muhindi klk hata kwa babake!
Kuna uhusiano gani kati ya ulichoandika na mada iliyopo mezani????Faida za kutumia formula yangu ya matunda (tibalishe)
Lazima uwe na whats app ndio utumiwe formula kama huna whats app usitume pesa zako hutopata formula
1.kukufanya uwe na uume imara
2.kukufanya uwe na uume usiosinyaa ukeni kabla ya kuingiza na baada ya kuingiza
3.kukufanya uume usimame haraka na kudumu ukiwa imara
4.kufanya uchelewe kumwaga shahawa wakat wa tendo la ndoa utachukua dk 15_25
5.kukufanya uwe na shahawa nyingi na bora
6.kukufanya uwe na shahawa zinazookimbia kwa kas wakat wa kusex
7.kukufanya urudie tendo la ndoa zaid ya mara tatu bila kuchoka
8. Hukufanya uwe na hamu ya tendo kama zaman unaweza ukasex kila siku round mbili na hamu isiishe lakin haikufanyi ikusumbue kutaka mwanamke kila mda hapana unakua kawaida kabisa kama ulivyo mpaka utakapoamsha hisia zako mwenyewe ndio hamu inakuja kwa ufupi unakua dereva wa hisia zako.
9.kuimarisha mishipa iliharibiwa na punyeto
10kuimarisha misuli ilihoharibiwa na punyeto
11.kuzibua mishipa iliyoziba kwa mafuta yanayoganda mwilin
12.kupandisha uzalishaj wahomone kurudi katika hali ya kawaida.
13.kuchochea usamabazaji wa damu kwenda sehem mbali mbali za mwili
14.kuipa afya njema mishipa ya moyo (artery na vein)
15.kuondoa hatar ya kupata shinikizo la damu
16 kuondoa hatar ya kupata ugonjwa wa moyo
17 huindoa sumu mwilin na kukufanya ujisikie mwepesi
18. Huondoa kitambi na mafuta mwilin
19. Kukufanya uwe kuona vyema
20. Kukufanya uwe na kinga imara na ya hali ya juu kupambana na magonjwa
0712505049
@pona_nguvu_zakiume_kwa_matunda
Tumesha msahau Ben na Azory.Tunaanza kumsahau Mo kirahisi hivi. Naota tu
Hii ni kwasababu huyu ni tajiri mkubwa lakini mwezi huu Pekee waliopotea sio chini ya 50Kila nikimfikiria MO naumia sana moyoni,sijawah kuwa na mawazo mabaya kuhusu serikali,lakn kwa ishu hii naona kabisa INTELIGENCIA YETU HAINA MAANA KABISA
IVI KWELI SERIKALI IMESHINDWA KUTUMIA WATAALAMU WA MASUALA YA KIPOLISI HATA KIJESHI KUWATAMBUA WATEKAJI WA MO NA KUJUWA YUPO WAPI
BASI KAMA TUMESHINDWA TUITE VYOMBO VYA NJE VIJE VITUSAIDIE KUMTAFUTA JAMAA
TUNASHINDWAJE KUITA CIA,FBI, NA VYOMBO VINGINE VYA KIMATAIFA
TUTUMIE VYOMBO HIVI SABABU JAMAA YUPO SMART