ZEE LA HEKIMA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,420
- 1,842
Habari hii kwenye gazeti la leo la Mtanzania limeandika habari ambayo imenifikirisha sana. Hebu na nyie wadau mtafakari haya maneno halafu muone yana maana gani.
Mtanzania limendika;-
...........hata baada ya Kamanda Mambosasa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kudai kuwa waliotekeleza tukio hilo ni wazungu, hoja ambayo imezua maswali namna walivyofahamu uraia wao mara moja, licha ya watu hao kudaiwa kuvalia kininja.....
Mtanzania limendika;-
...........hata baada ya Kamanda Mambosasa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kudai kuwa waliotekeleza tukio hilo ni wazungu, hoja ambayo imezua maswali namna walivyofahamu uraia wao mara moja, licha ya watu hao kudaiwa kuvalia kininja.....