gm man
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,177
- 1,455
Kamwe hutoweza kuruhusiwaTuombe msaada wa Scotland Yard..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamwe hutoweza kuruhusiwaTuombe msaada wa Scotland Yard..
Unaweza kuwa na hoja ya maana sana lakini kwa jinsi ulivyomshambulia huyo jamaa, inaonekana hupendi kabisa hoja zinazopingana na mtazamo wako yaani kama alivyo Jiwe AKA Mgugu maji na mwanae mwenye mkoa wakeKwa wapumbavu kama huyu October man kuzidi kuongezeka JF, sijui wanapitia milango gani hiyo wasikoweza kuhojiwa kama wana akili timamu kabla ya kufunguliwa.
Unaona? Sijui hata unaongea lugha gani! Yale yale ya fent ford!Jibu hoja sio personal attack, zihirisha kama wewe si kiraza.
Wa meunganisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Halafu wakauunganisha hahaaaaa
Wa meunganisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ililenga nini kauli hii?Ndio maana umeambiwa tujadili kauli tata kuna wengine tulielewa tayari MO kapatikana.
akikemea MO atapatikana?huyu rais wetu si aliapa kulinda usalama na amani ya watanzania. kwanini hatoki hagharani kukemea
Mkuu naona umekomenti kweliHi thread isipite bila kukoment chochote
Watu wanapotea raisi Yuko kimya...!!
Yaaani ztto namkibari Sana kwa kauri zake kadhaa,
Mfano ,ibara frani itumike , tumekabidhi inchi sijui kwa watu gani vire ??
Mwarabu, mhindi na mzungu wakivaa mask usoni utawatofautishaje?Kwani mtu akivaa mask mikono aiyonrkani kuona rangi ya ngozi, kingine ni saokolojia ndogo tu kwamba endapo weupe wamkono angekuwa nao mmoja ingekuwa ni wa Africa ila kuwaona wote na rangi nyrupe inamaana ni wazungu uwenda hata wakawa albino ila aiwezi albino kuongozana kwa infruence hipi asa.
Hitimisho
Mask aizibi mwili wote hivyo kuonekana wote wana rangi nyeupe lwa baadhi ya viungo vilivyoonekana inatosha kusema ni wazungu.
Nime tupe fasta naogopa kuibiwa simu kizani.
Tutaendelea kumtafuta MO na kuhakikisha watanzania wanapata majibu sahihi na majibu sahihi ni kwamba MO AMEPATIKANA NA WATEKAJI WAKE WAMEKAMATWA.
Tusipende ku twist maneno ili kufurahisha watu.
Achana na Ngengemkeni Mitimingi, huyo namfahamu. Wewe naomba unipe whereabouts Stella Mitimingi.huyu rais wetu si aliapa kulinda usalama na amani ya watanzania. kwanini hatoki hagharani kukemea
Hatembeagi na bodyguard?
Mwarabu, mhindi na mzungu wakivaa mask usoni utawatofautishaje?
Bodyguard wa nn sasa Mungu pekee brie