Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Hamna anaejua Mo yuko wapi mpaka sasa hivi na ndio mana jeshi letu bado linamtafuta na kama una hint yoyote ya utekaji wake basi tulisaidie jeshi na si watu kutoa mawazo yao potofu.

Ushauri wangu ni kua tuwaombe ndugu zetu Muslims waombe Albadili ili aliemteka akutane na dhahma ya Mwenyezi Mungu
 
Ndio maana zakaria aliwabutua na bomba watu wasiojulikana na mo kama angewalipua hao "WAZUNGU" kina malima wangejitokeza kwamba ni maofisa usalama walikuwa wanaenda kufanya mazoezi MO akawadhuru.
 
Kama hamna kikundi au mtu aliejitangaza kutaka 'ransom" au kutoa sababu za kumtea MO, basi serikali ijitafakari, kila mtekaji ana sababu zake za kumteka mtu
 
Kijana wa miaka 43; inauma saana... hata kama kafanya kosa ila adhabu ya kifo hastahili jamani...

Eee MUNGU wa Ibrahim ( Baba yetu wa imani) & Eliya na Yakobo ingilia kati jambo hili; tunajua unaweza; wamrudishe akiwa hai kama kuna makosa basi ashitakiwe kwa kutumia mahakama zetu ambazo wewe baba una mkono nazo.

Tunaomba utusikie ee Mungu muweza wa yote!!!
 
Watu wanapotea raisi Yuko kimya...!!

Yaaani zitto namkibali Sana kwa kauri zake kadhaa,

Mfano ,ibara flani itumike , tumekabidhi inchi sijui kwa watu gani vile ??

Rais mnamlahumu nini? Masaa yote mnaleta mambo ya siasa. Rais atajiingizaje kwenye mambo ambayo yamekaa ndio sivyo, haijulikani kama mambo yenyewe ni maiigizo for some reason au yana ukweli.

Nimejaribu kutafakali tukio zima nikaona mambo mengi don't seems to add up at all, hivi inaingia akilini kwamba watu ambao wako determined kuteka MTU watamsubilia aingie kwenye eneo ambalo kuna watu wengi,CCTV cameras na smartphones za ku-record matukio, in other words atekwe sehemu ambayo publicity ya tukio zima itakuwa na impact kubwa, kwa nini hakutekwa akitoka geitini kwake au akiwa njiani kuelekea kwenye gym, si wanasema ana kawaida ya kujiendesha mwenyewe - watekaji gani wanaweza kujitumbukiza sehemu ambayo wangeweza kuwa cornered kirahisi au kukamatwa na askali wa Doria??

Sina nia mbaya ya kuwasema vibaya wafanya biashara, lakini kumbuka kuna wengine ambao unaweza kukuta wanajingiza kwenye mambo ambayo kwa akili za kawaida si rahisi kuamini - niliwahi kushuhudia mifano kadhaa huko Ulaya na US - Siku mmoja kulitolewa habari kwamba mfanya biashara mkubwa aliye kuwa anamiliki magazeti ya the Mirror, Club ya mpira ya Chelsea,Kampuni kubwa ya bima kwa wastaafu nk eti alipotea baada ya kuteleza na kutumbukia baharini wakati akivinjari baharini na Yatch yake!! Polisi wali angahika sana kutafuta mwili wake bila mafanikio,baadae wapelelezi wakatilia shaka upotevu wake wakalazimika kufatilia nyenendo za makampuni yake, mambo waliyo gundua huko siwezi kuyarudia hapa, MTU mwenyewe alikuwa mwenye asili ya kiyahudi baadae ikaja gundulika kumbe alikimbilia huko na kubadiri sura!

Nisije kueleweka vibaya kwamba labda sikusikitishwa na utekwaji nyara wa mzalendo mwenzetu Mr.Mo, far from it - ninacho shauri vyombo vya Dola zichunguze kwa kina kwa uzito ule ule pande zote mbili i.e personal na washindani wake.
 
Labda sijui lakini factor kubwa ni hela ya kuendesha huo ujambazi ndio huwa ishu kubwa. speedboat huwa ni ghali mno ilihali majambazi huwa hela zao ni za kuunga unga kabla ya kufanya tukio, ndio maana utaona huwa labda wana milioni mbili ambayo huitumia kupata Smg/Ak-47 then kuhusu magari huwa wanayateka ndio wakafanyie ujambazi. Majambazi kutumia speedboat aisee sijawahi kusikia matukio ya dizaini hii hapa nchini kwetu
Kaka acha basi,
Dunia ishakuwa rahisi na moja kaka,
Km watu wananunua private jet sembuse kukodi speed boti,
Tafuta gharama zilizotajwa mahakamani na mashahidi wa kesi ya kuuawa yule bilionair uone,watu wakiamua uhalifu ni hatari kaka,
Lkn tuombe Mungu tu maana ishakuwa shida,vitu zama hizi vinapatikana kirahisi sana ni pesa yako tu,
 
Tangu lini majambazi wakateka mtu?! Au hata kama majambazi, je unafahamu level yao ya uhalifu? Unafahamu wanatoka wapi ili wakidhi hoja yako kwamba ni majambazi wa kawaida?

Kubwa kuliko yote! Binafsi sijazungumzia suala la kwenda nchi nyingine ingawaje hilo linaweza kuwa jambo jepesi kama kufumba na kufumbua kwa kutumia njia ya bahari! Nilichosema ni kwamba, kama wanahitaji ku-deal nae kwanza kama vile kumtesa na mambo mengine kama hayo, wanaweza tu kuwa nae baharini wakitumia mashua ya kawaida ya uvuvi ili wasitiliwe mashaka na vyombo vingine vya baharini vitakavyopita jirani nao! Kwa staili hiyo, wakakaa nae huko baharini kwa siku kadhaa huku wakihama hama tu toka sehemu moja hadi nyingine huku wakijifanya ni wavuvi na wakati huo huo akina Sirro wakihangaika na mapori ya mkoa wa pwani au hata Morogoro na Lindi!
Nimependa huu mstari umesema
Toka lini majambazi wakateka mtu
 
Kuna hati hati ya watu kubanwa korodani kwa kutumia prize hapo kwa kigezo cha kuharibu uchunguzi wa ngoja niendelee kusoma comment zenu tuuu
 
Rais mnamlahumu nini? Masaa yote mnaleta mambo ya siasa. Rais atajiingizaje kwenye mambo ambayo yamekaa ndio sivyo, haijulikani kama mambo yenyewe ni maiigizo for some reason au yana ukweli.

Nimejaribu kutafakali tukio zima nikaona mambo mengi don't seems to add up at all, hivi inaingia akilini kwamba watu ambao wako determined kuteka MTU watamsubilia aingie kwenye eneo ambalo kuna watu wengi,CCTV cameras na smartphones za ku-record matukio, in other words atekwe sehemu ambayo publicity ya tukio zima itakuwa na impact kubwa, kwa nini hakutekwa akitoka geitini kwake au akiwa njiani kuelekea kwenye gym, si wanasema ana kawaida ya kujiendesha mwenyewe - watekaji gani wanaweza kujitumbukiza sehemu ambayo wangeweza kuwa cornered kirahisi au kukamatwa na askali wa Doria??

Sina nia mbaya ya kuwasema vibaya wafanya biashara, lakini kumbuka kuna wengine ambao unaweza kukuta wanajingiza kwenye mambo ambayo kwa akili za kawaida si rahisi kuamini - niliwahi kushuhudia mifano kadhaa huko Ulaya na US - Siku mmoja kulitolewa habari kwamba mfanya biashara mkubwa aliye kuwa anamiliki magazeti ya the Mirror, Club ya mpira ya Chelsea,Kampuni kubwa ya bima kwa wastaafu nk eti alipotea baada ya kuteleza na kutumbukia baharini wakati akivinjari baharini na Yatch yake!! Polisi wali angahika sana kutafuta mwili wake bila mafanikio,baadae wapelelezi wakatilia shaka upotevu wake wakalazimika kufatilia nyenendo za makampuni yake, mambo waliyo gundua huko siwezi kuyarudia hapa, MTU mwenyewe alikuwa mwenye asili ya kiyahudi baadae ikaja gundulika kumbe alikimbilia huko na kubadiri sura!

Nisije kueleweka vibaya kwamba labda sikusikitishwa na utekwaji nyara wa mzalendo mwenzetu Mr.Mo, far from it - ninacho shauri vyombo vya Dola zichunguze kwa kina kwa uzito ule ule pande zote mbili i.e personal na washindani wake.
Tukio la Lissu kulikua na hizo kamera lakini ikiwa hizo kamera zipo chini ya mamlaka ya mtekaji hazina maana.
Ukutaka kujua kweli na uongo vijitenge mamlaka zijaribu kuruhusu uchunguzi huru wa jumuiya za kimataifa.
 
Rais mnamlahumu nini? Masaa yote mnaleta mambo ya siasa. Rais atajiingizaje kwenye mambo ambayo yamekaa ndio sivyo, haijulikani kama mambo yenyewe ni maiigizo for some reason au yana ukweli.

Nimejaribu kutafakali tukio zima nikaona mambo mengi don't seems to add up at all, hivi inaingia akilini kwamba watu ambao wako determined kuteka MTU watamsubilia aingie kwenye eneo ambalo kuna watu wengi,CCTV cameras na smartphones za ku-record matukio, in other words atekwe sehemu ambayo publicity ya tukio zima itakuwa na impact kubwa, kwa nini hakutekwa akitoka geitini kwake au akiwa njiani kuelekea kwenye gym, si wanasema ana kawaida ya kujiendesha mwenyewe - watekaji gani wanaweza kujitumbukiza sehemu ambayo wangeweza kuwa cornered kirahisi au kukamatwa na askali wa Doria??

Sina nia mbaya ya kuwasema vibaya wafanya biashara, lakini kumbuka kuna wengine ambao unaweza kukuta wanajingiza kwenye mambo ambayo kwa akili za kawaida si rahisi kuamini - niliwahi kushuhudia mifano kadhaa huko Ulaya na US - Siku mmoja kulitolewa habari kwamba mfanya biashara mkubwa aliye kuwa anamiliki magazeti ya the Mirror, Club ya mpira ya Chelsea,Kampuni kubwa ya bima kwa wastaafu nk eti alipotea baada ya kuteleza na kutumbukia baharini wakati akivinjari baharini na Yatch yake!! Polisi wali angahika sana kutafuta mwili wake bila mafanikio,baadae wapelelezi wakatilia shaka upotevu wake wakalazimika kufatilia nyenendo za makampuni yake, mambo waliyo gundua huko siwezi kuyarudia hapa, MTU mwenyewe alikuwa mwenye asili ya kiyahudi baadae ikaja gundulika kumbe alikimbilia huko na kubadiri sura!

Nisije kueleweka vibaya kwamba labda sikusikitishwa na utekwaji nyara wa mzalendo mwenzetu Mr.Mo, far from it - ninacho shauri vyombo vya Dola zichunguze kwa kina kwa uzito ule ule pande zote mbili i.e personal na washindani wake.
Kumbuka kulingana na ripoti ya jeshi la polisi wale watekaji walikuwa wamevaa mask.

Ki kawaida mtu akivaa masiki uwezi ukafahamu sura yake kwa macho ya kawaida ya kamera za cctv.

Kama utakumbuka shambulio la Westgate lilivyokuwa bila shaka utapata picha.

ASANTENI
 
Nasikitika kusema poliCCM ni majitu ya ajabu sana ktk nchi hii. Iweje mtu atekwe sasa ni siku ya 3 lakini hakuna fununu yoyote juu ya mahali aliko Mo Dewji? Hivi nchi hii kweli tunao wapelelezi wanaojitambua au tuna matutusa tu?

Tatizo la polisi wa nchi hii ni kukimbilia kutoa taarifa tata mbele ya vyombo vya habari pasipo kutumia akili. Upolisi Paipo Elimu (UPE) ndicho chanzo kikuu cha ukosefu wa weledi miongoni mwa poliCCM. Tazama jinsi ambavyo Mambokale alijitokeza mbele ya vyombo vya habari na kadi yake ya CCM kuupotosha umma wa watanzania kuhusu watekaji:

  • Watekaji ni wazungu (sio raia wan chi hii). Je, ulikagua vitambulisho vyao vya uraia? Je, mtu yeyote mwenye rangi nyeupe ni MZUNGU?
Haikubaliki hata kidogo kutolewa taarifa ya ovyo na potoshi kama hii halafu wananchi tukae kimya ilhali Mo bado hajapatikana. Unless poliCCM mtuambie kwamba mna ajenda ya siri juu ya utekaji huu.
 
Kumbuka kulingana na ripoti ya jeshi la polisi wale watekaji walikuwa wamevaa mask.

Ki kawaida mtu akivaa masiki uwezi ukafahamu sura yake kwa macho ya kawaida ya kamera za cctv.

Kama utakumbuka shambulio la Westgate lilivyokuwa bila shaka utapata picha.

ASANTENI
Mbona wasiojulikana waliomshambulia Lissu hawakuwa wamevaa mask na CCTV ziling'olewa muda mfupi baada ya Lissu kushambuliwa lakini hadi leo upelelezi haujaanza? Mkuu usitetee wauaji pasipo kutumia akili.
 
Back
Top Bottom