Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Hili si tukio dogo. Ni vyema serikali ikalibeba kwa uangalifu mzito.

Ni Tukio ambalo linaweza kuathiri vibaya zaidi hali ya uchumi wa nchi kama halitashuhulikiwa kimakini!!! INVESTORS ARE WARY OF SECURITY ISSUES!!.
 
Mungu aitie nguvu familia yake kwenye huu wakati mgumu na tumuombee uzima huko aliko atoke salama.
 
Kwa mujibu wa derva hakukuwa na ubishani ktk huu utekaji. Mtekwaji alitii amri lakini watekaji wakapiga bunduki juu. Kama ndivyo ilivyokuwa basi hawa watekaji walitaka ijulikane kuwa huyu mtu katekwa. Swali, kama wangekuwa watu wa kudai ransom wangetaka tukio liwe kimya kimya tena wangefanya wakati anashuka au anapanda garini lakini kwenda kumchomoa ndani nu hakika walitaka ku exaggerate the kidnapping. Ngoja tusubiri report ila kwa mazingira yalivyo lengo la watekaji kujulikana kwa haraka na ngumu
 
Ngoja nikae kimya ili sinionekane mfuata upepo fulani hivi.

Polisi fanyeni kazi yenu ya kulinda raia pamoja na mali yake.

Mungu aingilie kati ili MoDewji apatikane akiwa salama salimini.

USHAURI
Kama unajua kuwa una mali plse jaribu kuwa na ulinzi binafsi.

ASANTE
 
Akipita kwa hili aanze kuishi kwa tahadhari, awe na ulinzi 24hrs, aache kujiamini kupita kiasi, Dunia ina mengi hii.
Hata maadui anao...wafanyabiashara huwa na mambo mengi sana
 
Japo wengi wanaamini ata walinzi binafsi mda mwingine wana matatizo yao
 
Whoever works this case must:
1.be knowing the motive of the kidnappers right now!
2.know what Mo owns -his balance sheet. And where everything is,keep track of that.
3.Know the closest people to Mo who can effect a transaction and keep track of them.
4.Make sure Mo is safe by following what the kidnappers while working a plan to get him back.

We may need heros of action in this but leadership of calm heads and am not sure we have any!
 
Kuna mtu alisema ,wakimaliza wapinzani na wanaokosoa serikali wataanzana wenyewe sasa wameanzana msishangae .Wale wengine waliotekwa na kupotea walikuwa watoto wa simba na sio wa wamama wa wenzenu.Mtoto ni mtoto tu mradi katoka kwa mwanamke kwa mwenzio ana dhamani kubwa hata akiwa kibaka.Ila Pole sana familia ya MO nimesikitika sana na kutekwa kwake ,namwombea Mungu akutwe akiwa salama.Mungu tusaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…